Scolari
JF-Expert Member
- Aug 25, 2017
- 1,721
- 2,383
Kwani mi nadhaniaje?Sina huo muda mie, nipo tofauti sana ki uhalisia na udhaniavyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani mi nadhaniaje?Sina huo muda mie, nipo tofauti sana ki uhalisia na udhaniavyo.
Hivyo hivyo, nijiunge kweny sites za kichafu ili nigundue nn? [emoji3][emoji3][emoji3]Kwani mi nadhaniaje?
Maujuzi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hivyo hivyo, nijiunge kweny sites za kichafu ili nigundue nn? [emoji3][emoji3][emoji3]
Nlichukua unyagoni na msondoni, wala sina shida kabisaaaaah [emoji3][emoji3][emoji3]Maujuzi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Njoo inboboMwenye connection ya nasra noti,nataka nitupiemo.
Ukituma hiyo hela hesabu maumivu. Ni bora umwambie akuelekeza alipo umfuate
Tena ukimpa ahadi , atakuita majina yote. Yaani Malaya kwa helaNawaelewa sana mkuu nlikua namzingua Tu,. Yaan kang'ang'ania kila saa ana ni dm nikampa block
RIP in advance..Mwenye connection ya nasra noti,nataka nitupiemo.
Duh! Mbona hivyo mkuu? Si useme tu demu yuko vipi kwa faida ya wengiRIP in advance..
[emoji3577][emoji3577][emoji23][emoji23]Uwiiiiiiiiih Dunia simama nishuke.
Hujasema uliliwa pesa kiasi gani nyambafu weweBaada ya kujiunga Badoo nimegundua mambo haya
1. Wanawake waliopo kule hawajaweka picha zinazoendana na umri wao.
2. Wanawake wengi wanajiuza, ukianzisha story kidogo unaulizwa una Shililingi ngapi? Au utarushiwa namba, mnaingia whatsup anakurushia picha za aibu. Kupitia picha hizo ndipo nilipougundua hazina uhalisia na za Badoo. Wanawake wengi niliwapanga hadi bei na maeneo ya kukutana lakini baadae nawapotezea. Nilijitahidi kutowarushia picha zangu.
3. Wanawake wa kule waongo Sana.
4. Kuna ving'ang'anizi hasa wakijua kazi yako nzuri.
5. Nawapa Kongole wasichana wa Mwanza wengi walinikataa na kusema wao sio Malaya.
Ni hayo tu kwa leo
Nifundishe jinsi ya kujiungaBaada ya kujiunga Badoo nimegundua mambo haya
1. Wanawake waliopo kule hawajaweka picha zinazoendana na umri wao.
2. Wanawake wengi wanajiuza, ukianzisha story kidogo unaulizwa una Shililingi ngapi? Au utarushiwa namba, mnaingia whatsup anakurushia picha za aibu. Kupitia picha hizo ndipo nilipougundua hazina uhalisia na za Badoo. Wanawake wengi niliwapanga hadi bei na maeneo ya kukutana lakini baadae nawapotezea. Nilijitahidi kutowarushia picha zangu.
3. Wanawake wa kule waongo Sana.
4. Kuna ving'ang'anizi hasa wakijua kazi yako nzuri.
5. Nawapa Kongole wasichana wa Mwanza wengi walinikataa na kusema wao sio Malaya.
Ni hayo tu kwa leo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3577][emoji3577][emoji23][emoji23]
Tuoane humuhumu mama manake tunakutana kila muda
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Tena ukimpa ahadi , atakuita majina yote. Yaani Malaya kwa hela
Ninachokupendea uko online muda wote nakupata nikikutaka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] weee afu hata mie sipo online muda wote, akaaaahNinachokupendea uko online muda wote nakupata nikikutaka
Tutangaze ndoa hapa[emoji8][emoji8][emoji3][emoji3][emoji8][emoji8][emoji8]
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Nimekuelewa kinyama[emoji7][emoji7][emoji7][emoji8][emoji8][emoji8][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] weee afu hata mie sipo online muda wote, akaaaah
Afu weeeee acha zako mshua wangu yupo humu, ni mjeda oooohNimekuelewa kinyama[emoji7][emoji7][emoji7][emoji8][emoji8][emoji8]
Nataka ndoa hapa [emoji8][emoji8]
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Mjeda?Afu weeeee acha zako mshua wangu yupo humu, ni mjeda ooooh
Mjeda?
Shetani hamuogopi shetani je akiwa chini yangu ananpigia saluti?
Wajeda hatuogopeki
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app