Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Baada ya kujiunga Badoo nimegundua mambo haya

1. Wanawake waliopo kule hawajaweka picha zinazoendana na umri wao.

2. Wanawake wengi wanajiuza, ukianzisha story kidogo unaulizwa una Shililingi ngapi? Au utarushiwa namba, mnaingia whatsup anakurushia picha za aibu. Kupitia picha hizo ndipo nilipougundua hazina uhalisia na za Badoo. Wanawake wengi niliwapanga hadi bei na maeneo ya kukutana lakini baadae nawapotezea. Nilijitahidi kutowarushia picha zangu.

3. Wanawake wa kule waongo Sana.

4. Kuna ving'ang'anizi hasa wakijua kazi yako nzuri.

5. Nawapa Kongole wasichana wa Mwanza wengi walinikataa na kusema wao sio Malaya.

Ni hayo tu kwa leo
Hujasema uliliwa pesa kiasi gani nyambafu wewe
 
Baada ya kujiunga Badoo nimegundua mambo haya

1. Wanawake waliopo kule hawajaweka picha zinazoendana na umri wao.

2. Wanawake wengi wanajiuza, ukianzisha story kidogo unaulizwa una Shililingi ngapi? Au utarushiwa namba, mnaingia whatsup anakurushia picha za aibu. Kupitia picha hizo ndipo nilipougundua hazina uhalisia na za Badoo. Wanawake wengi niliwapanga hadi bei na maeneo ya kukutana lakini baadae nawapotezea. Nilijitahidi kutowarushia picha zangu.

3. Wanawake wa kule waongo Sana.

4. Kuna ving'ang'anizi hasa wakijua kazi yako nzuri.

5. Nawapa Kongole wasichana wa Mwanza wengi walinikataa na kusema wao sio Malaya.

Ni hayo tu kwa leo
Nifundishe jinsi ya kujiunga
 
Back
Top Bottom