Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni zaidi ya WhatsAppTelegram si kama watssap mkuu au
Ata tinder u ajigegedea tuu na mihela yakoUkimwi unazungushwa Badoo kama pipi.
Mtandao naouona uko serious ni Tinder pekee.
Tupeane connectionBadoo haiwezi kuipiku Telegram,kule mademu kama bidhaa. ila usiwaite malaya waite warembo
Tele. Channel ipi hiyo mkuu nikazamieHuja yaona ya telegram wewe, Badoo mtoto mdogo sana
InboxTupeane connection
PMTele. Channel ipi hiyo mkuu nikazamie
Duh umefumbua masikioKatika site za aina yake ni Badoo
Ni Badoo peke yake ambapo hakuna anayeonekana mbaya bali kila msichana mule anaonekana beautiful onyinye wanajiedit sana.
Badoo ukimtongoza mwanamke kitu cha kwanza lazima akuombe pesa hata ukishafahamiana naye atakua anakuchuna tu
Badoo wanawake na wanaume hujiuza humo; usijiroge ukatafuta mchumba Badoo utakua ume-wrong namba.
Ni Badoo pekee ambapo msela ukiweka picha smart au ukiwa na muonekano wa ki-handsome au ukiwa kifua wazi basi jiandae kutongozwa na mashoga. Badoo ni centre ya mashoga na wadangaji ambao hujiuza humo.
Vituko vya Badoo ni vingi sana aisee unakuta demu anaweza kuja kwako asubuhi saa 2 akaondoka akawa na appointment na mtu mwingine saa 4. Baadae tena akaenda kwa mwingine yaani ndo michezo yao wanazunguka balaa; kwa siku anaweza kuzunguka hata kwa watu watano.
Badoo ni centre ya wadangaji na mashoga ukiwa huko kama ni gentleman ujiandae kisaikolojia imekua kero kama kina dada wanavyopata shida kule Messenger FB wakisumbuliwa na Wahindi unlimited na Badoo magenlemen usumbufu wa makaka poa sio vizuri kabisa mimi hadi nimeamua kujitoa kule kabisa.
Hii ndo Badoo mtandao ambao ukimuona mkeo, mmeo, au mpenzi wako kajiunga huko ujue unaibiwa mchana kweupe maana kule ni kutongozana tu.
👍Kila baada ya saa8, mtanzania mmoja anaambukizwa UKIMWI.
be careful, take precautions.
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Kila baada ya saa8, mtanzania mmoja anaambukizwa UKIMWI.
be careful, take precautions.
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Takwimu zinasema kila lisaa limoja watanzania 8 umri miaka 18-24 wanaambukizwa Ukimwi.Daah!!!! Kumbe UKIMWI hauna Kasi kabisa kwahiyo kwa siku ni Watanzania 3 tu wanapata ngoma🏌️🏌️🏌️
Kule waachie watoto mkuu hapakufaiNa sisi wabibi tunaruhusiwa kuingia huko? [emoji848]
Asante mkuu, ngoja nikae pembeni na Mkongojo wangu 👵Kule waachie watoto mkuu hapakufai