Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Hii Badoo ipo mkoa gani, sijawahi kuisikia
 
Duh umefumbua masikio
 
Daah!!!! Kumbe UKIMWI hauna Kasi kabisa kwahiyo kwa siku ni Watanzania 3 tu wanapata ngoma🏌️🏌️🏌️
Takwimu zinasema kila lisaa limoja watanzania 8 umri miaka 18-24 wanaambukizwa Ukimwi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…