Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Dah kwa kwel inatisha na inasikitisha san hii mitandao ya badoo na tinder sikuiz danguro limehamia huko madem,mashoga wanajiuza yan kila manz anakuambia hela yako tu sijui mambo ya show time sijui kulala yan nimeshanga san kwakwel

Usikute hata madem zetu wapo humu humu na hatujui

Nb:ukiona manz ako ana app km hizo mchunguze kwa umakini utakuja kunishukuru

 
Kumbuka kinga usidemke demke kizembe.
Na udai risiti baada ya kuhudumiwa.
 
Wengine hadi huku watsapp.....

Magufuli alisema usipofanya kazi hautaiona hela.....ndo wanajitahidi kupiga kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…