Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope


Hahahha huu uzi utapigwa chini mpwa [emoji3][emoji3]

Maana watakuja hapa wenyewe,
Tengeneza Bio ya kizungu

Mfano::

" I enjoy exploring, eating out, meeting new people.
You want to know about my private life.? Yes I am Romantic..
You want to know how Wild and Crazy i can be.. Feel freee to get to know me then.!! Ladies They want that candle lit dinner on the Beach With the Champagne [emoji898] [emoji1635] and strawberries till
sunrise [emoji559] ""


ukishatengenza Bio kama hiyoo hakuna ndege anaruka mpwa, all you neeed is good Bio na kwenye list ya picha zaako zile tano bora
Weka picha moja tuu huko!

Ukisha maliza hapo its up to you to get prenty Fish,,

Though hiyo bio imekaa kizungu sana
So u need to update yourself kwenye (grammar na vocabulary)

"kama unataka kupitia njia yangu,
Mm nina tengenezaga hizi virtual namba za Ulaya, natumia maybe namba ya US au UK au CANADA au Russia kwa WhatsApp, then
Nikipata project natoa namba, ya nje,,
Project ikiangalia namba ye nje, ikiangalia bio ya mzungu kabisa [emoji3][emoji3]
Baasi hata kama inauza inaanza kuhisi kabisa huyuu jamaa sio mswahili mswahili wa temeke, na mm hapo ndo naingia kizungu kabisaa,,

Hata tukionana hakuna mambo ya kutajiana bei maana nampa treatment za kizungu, [emoji3][emoji3][emoji3]

Kama ni project for sale ina jishusha kuwa project for life au project for wife
Kumbe mm mwenyewe nataka tuuu kukamilisha project yangu ifike Chato [emoji3][emoji3][emoji3]


Nimemaliza mpwa
 
Duh! 😂 😂 😂
 
Endelea, nachukua somo maana kiukweli tinder sijawahi kufika!
 
Hi5 nimeshawahi kuwa namba 4 kwa Tanzania nzima! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125]
Cc. Hitwe
 
Nna mchumba mm dalali wako nikupe?
 
Unatoa mafile ya MC mpwaaa🐍🐍🐍🐍 shots fired..man down man down
 
Mmmmh...we jamaa ulikuwaga TIGO TANZANIA au Room gani pale mig33?
 
Tinder kilichonishinda kutumia, ndo hicho kuweka photo real na bio kuhus ukweli wako, hapo tyuuh nilichoka na nika cancel. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee mkareeeeh, so kwa maujanja haya lol. [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
2go ndo mtandao wangu pendwaah, ila now time hakna maajabu, kumepoa san yaan.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…