MrConveter
JF-Expert Member
- Jul 4, 2017
- 1,290
- 2,361
Wahuni wenzangu niwape chaka jipya?
Tupe kiongozi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wahuni wenzangu niwape chaka jipya?
Gay gan anayelilia ukuni kijinga hivyo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwamba unabisha huwa hawalilii ukuni?
Nitakupelekea uthibitisho kunako ujumbe fiche.
Mkuu wewe ni msemaji wao?Huu ni uongo wa wazi kabisaa. Lol.
Acheni chuki zao dhidi yao, kutwa kuwananga tyuuh mmh.
Tena mwandamizi. [emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu wewe ni msemaji wao?
Gay gan anayelilia ukuni kijinga hivyo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Weka huo uthibitisho hapa lol.
FB wanajitongozesha kabisa wanalilia ukuniMnakutana nayo wapi? Acheni uongo wenu hapa lol.
Kumbe zilikuwa kamba za jukwaaniMie hao mbona sijawaona....kwanza hawanivutii
Sasa kama hujawaona watakuvutia vp?Mie hao mbona sijawaona....kwanza hawanivutii
Huu ni uongo wa wazi kabisaa. Lol.
Acheni chuki zao dhidi yao, kutwa kuwananga tyuuh mmh.
Mkuu wewe ni msemaji wao?
Sii nawaona kwenye chupa ya mzungu mzeya.Sasa kama hujawaona watakuvutia vp?
Situmii utumbo mieNyie ni waongo tyuuh, ukute wee ndo unawataka wao hawakutaki khaaaah.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji3][emoji3][emoji3]Tujue jinsia yake kwanza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaahWapo,
Tunakumbana kila siku.
Ipo siku uvumilivu utanishinda, akitakacho mtu mpe.
Shetani akiniingia nitaanza kufukua chemba zao.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uongo tyuuh.FB wanajitongozesha kabisa wanalilia ukuni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa unakutana wapi na huo utumbo?Situmii utumbo mie
Acha ubishi ma gays wa bongo wanazingua Sana na tabia zao za kukera watu mitandao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uongo tyuuh.
Goli moja elfu 30, Ina tv auJamani kuna mtandao unaitwa badoo, yani huko kuna malaya wa kutupwa, siku hizi ukitaka msichana wa fasta we jiunge huko tu, wamezagaaa kama siafu ila kuna kamtimdo wadada wa huko wamebuni kama wanaambizana vile. Ukichati nae tu kidogo utasikia,"naomba niazime 30000 nina shida sana, nitakurudishia ndani ya wiki moja".
Sasa mtu unajiuliza" namkopeshaje fedha mtu ambae sijawahi hata kumuona? Haaahaaa hiyo ndio hatari ya badoo bwana, yani ukikataliwa badoo basi wewe jichunguze una matatizo gani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Goli moja elfu 30, Ina tv au
Ulitaka akuite baby? [emoji16][emoji16]Ninachsem mkuu wale wa telegram ni biashra nje nje Yan inafk Mahal mko room anakuita mtej ndo nn sasa sikatai Wang anawez kuwa kalwa but kuwafkia wale wa telegram impossible