Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Unapataje demu?mi nimejiunga lakini sijui jinsi ya kuwapata.halafu kuna kulipia lakini kwa Ksh
 
mimi nina miaka miwili nipo huko mbona sijaona hao malaya,haiwezekani mtu unachokoza watu huko alafu ukiombwa hela unakimbilia huku kulalamika,yaani hawezi kukuomba kama hakuna series flan ya maongezi.
 
mimi nina miaka miwili nipo huko mbona sijaona hao malaya,haiwezekani mtu unachokoza watu huko alafu ukiombwa hela unakimbilia huku kulalamika,yaani hawezi kukuomba kama hakuna series flan ya maongezi.
Jichunguze sana,kama hupati demu huko,sasa kule kuna nini zaidi ya kuchati na unknown person?
 
kwa kweli ule mtandao umenishinda.huko kuna mambo hayafai kabisa, Na mtandao mwingine ni ,,HI CHAT.hainaga adabu kabisa hii mitandao.Kama mwenzi wako yupo huko.muangalie Mara 3tatu
 
Nani kakwambia mauza uza ya US yapo New York???

**** mji unaitwa new Orleans acha kabisa huko ni hatari


Hahahahahaaha mkuu angalia typing errors itakuletea matatizo makubwa..... unaona badala ya kuandika 'kuna' umeandika cha ajabu hadi jf ikaogopa
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] we ushajitoa,?!
 
Badoo ivi ni kama watsaap maana mm ni mgeni kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…