man sorghum
Member
- Dec 7, 2016
- 97
- 56
hahahaaaaaMmoja alinambia nikimtumia hela tu atakuja, c nilichanganyikiwa nikamtumia ndovu, Aisee!! Nampigia simu ananiambia yuko hospitali amelazwa, nilichanganyikiwaje[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Halagu hii picha wanaitumia wengi sana sio mwenyewe huyo dawa yake mwambie nataka kukupigia video callHuyu amebadili jina, alikuwa anajiita Salma, amekula 15000 yangu huyu, dadeki na ukimpigia simu ana sauti kavu sana, I think ni ganja alone[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji121] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Huyu anajiita Kidoti yupo kila social media,Tinder yupo, Hitwe yupo, Badoo yupoo na Insta ndio usisemee linakaa KibahaDuh huyu hana tabu kujitangaza kabisa, kweli life tight bongo hapa
Ni kweli kabisaHuyu anajiita Kidoti yupo kila social media,Tinder yupo, Hitwe yupo, Badoo yupoo na Insta ndio usisemee linakaa Kibaha
Huyu hata mie alinitajia dau kama ilo na jina sio lake kumbe ni mtoto Kiislamu na ana mtoto mmoja yuko facebook, aliponipa namba si nikaenda search facebook namkuta kule na jina la Amina haa haa nikamchana,wacha aone aibu
Dawa yao video callNi kweli kabisa
Huyu nshabutuaga miaka kama 8 hv ishapita, ila ckumpata badoo
Mara nyingi hawa weki pic zao asili
Huyu ni tapeli Mkubwa katika mitandao Ya kijamii hasa hasa badoo nadhani tushauriane kumkamata huyu mtu.maana ni Shida kashawatapeli watu wengi sana.nikiwemo Mimi nilimutumia elfu 10 .kwa Mashati aje tuonane Lkn mwisho wa Siku Ukawa ni maumivu .nimekusudia kuchafua Ktk mitandao yoote ikiwemo .nataka kuprint Picha zake kwa wingi halafu nizisambaze Posta yoote Na. Viunga yake has a Zanzibar Maana amekalia ni mkazi wa huko visiwani.bila uisahau kariakoo.na MAGOMENI.km bujeti Yangu itatosha nafika mpk Arusha Na. Pia kutangaza ktk gazeti la udaku japo moja natummpia tangazo huko.
heheheeee...hapo tayari keshakutegaIle kusalimia tu......
Utathibitishaje kuwa hizi ni picha zake halisi? Yawezekana katumia picha za marehemu fulani!
Huyu ni tapeli Mkubwa katika mitandao Ya kijamii hasa hasa badoo nadhani tushauriane kumkamata huyu mtu.maana ni Shida kashawatapeli watu wengi sana.nikiwemo Mimi nilimutumia elfu 10 .kwa Mashati aje tuonane Lkn mwisho wa Siku Ukawa ni maumivu .nimekusudia kuchafua Ktk mitandao yoote ikiwemo .nataka kuprint Picha zake kwa wingi halafu nizisambaze Posta yoote Na. Viunga yake has a Zanzibar Maana amekalia ni mkazi wa huko visiwani.bila uisahau kariakoo.na MAGOMENI.km bujeti Yangu itatosha nafika mpk Arusha Na. Pia kutangaza ktk gazeti la udaku japo moja natummpia tangazo huko.
Nouma sanaa mpaka ulitaman umtumie hela ya xmass
Ni pm namba ya mmoja wapo mkuu,nami nifanye yangu[emoji28]Honestly Badoo nimewatafuna mademu wawili, japo nilishaonana na mademu zaidi ya kumi wa badoo ila nmebahatika kuwakaza wawili tu! Mademu wa badoo wanapenda sana pesa na maisha ya juu wengne watakuuliza unaishi wapi ili wajue kama unachunika wakuchune haswa! Hao wawili niliowatafuna sikutumia hata pesa ni maneno tu hao wengne walikuwa wanataka pesa ndefu, ila ni mademu wakali sana tu mpk leo namba zao ninazo naangaliaga tu Dp zao nauchuna! Currently niko bize but nikiwa free tena ntawatafuna kama kawa...
Usipokuwa Makini Badoo, utaishia kutoa msaada wa pesa na Papuchi hauli, ubahili wangu unanisaidia sana.!
Mkuu,embu nielekeze jinsi ya kutumia huu mtandao,,maana naambiwa nilipie ndipo nitume text,,au niweke picha zang halisi..tupeane shule mkuu..tafadharKABLA kusema jambo ningependa KUTOA pole kwa wana Jf mlio tapeliwa Badoo au kuzinguliwa Badoo.
Mimi ni mtumiaji mzuli sana wa mtandao wa Badoo takribani miaka minne hivi,
ukweli ni kwamba ndani ya Badoo kuna ma group aina tatu za watu
1.matapeli wa mapenzi.
2.wanawake wanaojiuza
3.wanawake wa kawaida.
Mimi tangu. Nianze kuutumia huu mtandao nimetafuna mademu wengi sana wanaojiuza NA wasiojiuzaa.
1.mademu wasiojiuza ni wengi tuu na wako poa unatongoza Leo na kesho unakula mzigo tena hutoi hata senti tano ,
2.kuna mademu wanaojiuza hawa mademu na nimenunua sana papuchi ila ukweli ni kwamba show zao mbovu unampa demu mzigo kama 40 au 50 unapiga viwili au vitatu show zao kitandani hamna kitu.
Wakati ukienda zako pande za kimboka,sewa, kisuma au fence corner demu unampa 10 au 20 show yake sio mchezo mpaka unaridhika sio Badoo wanataka ukojoe fasta usepe zako fastaa
Na yeye ajisepeshe kwa maana ana order za wateja wengi.
3.matapeli. Wa mapenzi Badoo ni kweli wapo lakini jinsi ya kudeal nao usijaribu kutuma pesa bila kuonana nao ,. .....
Unapotea ndugu achana na badoo.Mkuu,embu nielekeze jinsi ya kutumia huu mtandao,,maana naambiwa nilipie ndipo nitume text,,au niweke picha zang halisi..tupeane shule mkuu..tafadhar
[emoji123]Piganeni mshindi ndiyo ana haki na ukhuty
Lakini hujaoa hata mmoja?Hamna watu wanaotumia vibaya Lkn WAPO Mademu wengine WAPO makini na wanahitaji wanaume kweli.wengune mpk wanaolewa.kupitia badoo.
Mm nishawahi kuwa na mahusiano Na. Wadada km watatu hivi Na. Tutakutana na Kupiga mzigo.