Hujapata myege kisirani weweApp zote zisizo kuwa na tija katika Maisha yangu huwa sina na siziitaji.
Iko vyema hata wale sijui upungufu wa nguvu za kiume wanapona wenyeweDah... hii mizigo lazima uingie 'mtaroni'....[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Isitoshe hizo picha hao firauni wameziweka wenyewe huko tayari er .. badoo!Kwani C wanauza kweli, sasa yanini tuzibe picha[emoji19] [emoji19]
mbona yana sura nzito hivyo?[emoji15] [emoji15]
umejuaje?Huyo Naima mwenyewe ni dume wala sio mwanamke,
picha yangu inafanya nini hapa?
Na wewe ulikuwa unajiuza au?Kweli kabisa! Yaani kuna mkaka nilikutana nae badoo enzi hizo hadi leo tuna urafiki mzuri... Amekua zaidi ya ndugu.
Kwa bashite [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Biashara zinaendelea
Safi
Huyu ni tapeli Mkubwa katika mitandao Ya kijamii hasa hasa badoo nadhani tushauriane kumkamata huyu mtu.maana ni Shida kashawatapeli watu wengi sana.nikiwemo Mimi nilimutumia elfu 10 .kwa Mashati aje tuonane Lkn mwisho wa Siku Ukawa ni maumivu .nimekusudia kuchafua Ktk mitandao yoote ikiwemo .nataka kuprint Picha zake kwa wingi halafu nizisambaze Posta yoote Na. Viunga yake has a Zanzibar Maana amekalia ni mkazi wa huko visiwani.bila uisahau kariakoo.na MAGOMENI.km bujeti Yangu itatosha nafika mpk Arusha Na. Pia kutangaza ktk gazeti la udaku japo moja natummpia tangazo huko.
Duuh ,huyo cha umbeya inabidi apewe ban la nguvu.
Kwani waliokua badoo walikua wanajiuza? Fikra potofu hizo... Badoo ilianza vizuri tu kama love connect. Ni bwawa la kila aina ya samakiNa wewe ulikuwa unajiuza au?
Akili ya pombe huwa inahamia chini, juu wala haiumbukimbona yana sura nzito hivyo?[emoji15] [emoji15]
dah ,we jama sikuelewagi ,,,hivi wewe ni demu au boy?Nimewapitia sana kama watano tu
njoo pm nikusimulie hadithiKwani waliokua badoo walikua wanajiuza? Fikra potofu hizo... Badoo ilianza vizuri tu kama love connect. Ni bwawa la kila aina ya samaki
Nirushie hizo number za wawili, inavyoonekana huwahitaji tena,kizuri kula na nduguyoHonestly Badoo nimewatafuna mademu wawili, japo nilishaonana na mademu zaidi ya kumi wa badoo ila nmebahatika kuwakaza wawili tu! Mademu wa badoo wanapenda sana pesa na maisha ya juu wengne watakuuliza unaishi wapi ili wajue kama unachunika wakuchune haswa! Hao wawili niliowatafuna sikutumia hata pesa ni maneno tu hao wengne walikuwa wanataka pesa ndefu, ila ni mademu wakali sana tu mpk leo namba zao ninazo naangaliaga tu Dp zao nauchuna! Currently niko bize but nikiwa free tena ntawatafuna kama kawa...
Usipokuwa Makini Badoo, utaishia kutoa msaada wa pesa na Papuchi hauli, ubahili wangu unanisaidia sana.!
Hahahaha unataka ukamatie fursa hapa hapaNirushie hizo number za wawili, inavyoonekana huwahitaji tena,kizuri kula na nduguyo