Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

nilipata mtoto mrembo sana badoo, nilipiga mara moja tu nikanogewa halafu kalikuwa kastaarabu sana, maskini baada ya muda kakanambia kana mimba ya mhe. mbunge mmoja kaligoma kumtaja jina na kalisema hakampendi ila kanampenda kwa sababu ya senti zake kakawa hadi kanashabikia ccm. kakasema kanataka kuitoa ile mimba, baada ya wiki kakaitoa. nikawa nakapigia simu kukajulia hali kakawa kanasema kametokwa damu sana kwenye hilo zoezi na kanaumwa sana. baada ya muda kakawa hakapatikani hadi sasa kimya. nadhani kamerest in peace. hadi leo namba ninayo kila ukipiga hakapatikana.
 
Safi
 
Nirushie hizo number za wawili, inavyoonekana huwahitaji tena,kizuri kula na nduguyo
 
Revolution ya Facebook/insta/snapchat na Twitter imeua social networks za zamani na kuzifanya ziwe za dating na biashara Kaman hizo hui ni pamoja na Badoo, Hi5, Tagged, soon MySpace
 
Reactions: SDG
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…