Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Nilikuwa nawaonesha wanaJF jinsi ulivoumbika. .. kwa Wale wanaotaka utam wa kimataifa wakutafutepicha yangu inafanya nini hapa?
Huyu hata mie alinitajia dau kama ilo na jina sio lake kumbe ni mtoto Kiislamu na ana mtoto mmoja yuko facebook, aliponipa namba si nikaenda search facebook namkuta kule na jina la Amina haa haa nikamchana,wacha aone aibuView attachment 501978View attachment 501979View attachment 501980View attachment 501981
inahamasisha daahApp.
Ulitaka waombe nini..!? Kaza moyo tuu tuma hizo pesa, acha uchoyo..!!
Haha haaaaaa alitaka wamuombe dusheeeeee.....
Nao wanaangaliaga mtu wa kumuomba. Mbona wanaume wengine hawaombwi ombwi hovyo hovyo
Ushamba upi? Walioko huko wanajua wanachokifanya huko inawezekana inawanufaishaHakuna mtandao wa kishamba kama badoo.., watu wanaotumia huo mtandao hua hawaelewek eleweki, uswahili mwingi na ushamba ndo umejaa kule, kiukweli app yenyewe nime uninstall
Nimekujausitongozee badoo,, njoo jf
wew uliyeingia kichwa kichwa mpaka ukajitoa ndo mshamba, aya tuambie mjanja umehamia wapi IG??Hakuna mtandao wa kishamba kama badoo.., watu wanaotumia huo mtandao hua hawaelewek eleweki, uswahili mwingi na ushamba ndo umejaa kule, kiukweli app yenyewe nime uninstall
Haya anza ila me nitakuomba tena nyingiNimekuja