Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope


Hii kweli, Sinza Mugabe na ni graduate wa cbe Mwanza naona kawekeza kwenye mwili
Nawakubali sana wanaojiweka wazi hapa unaelewa kabisa unatoa kiasi gani unapata huduma..siuo kama wale wengine unachat nae baadae unasikia nina njaa mara nina matatizo ukiingia kingi umepigwa pesa pambaaaaf Njaa za kifala fala zitawaua kama unafanya biashara jianike tu na si kuleta usengerema wa kizamani..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna wanaume wengi huweka picha za kike na majina ya kike ili KUIBA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…