Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

15e63b1c92f2950599282525e99b1e4e.jpg
3f8020bfb8e39f9df9e9c7d78ff2b706.jpg

Hii kweli, Sinza Mugabe na ni graduate wa cbe Mwanza naona kawekeza kwenye mwili
Kaamua kujiajiri mkuu.
 
15e63b1c92f2950599282525e99b1e4e.jpg
3f8020bfb8e39f9df9e9c7d78ff2b706.jpg

Hii kweli, Sinza Mugabe na ni graduate wa cbe Mwanza naona kawekeza kwenye mwili
Nawakubali sana wanaojiweka wazi hapa unaelewa kabisa unatoa kiasi gani unapata huduma..siuo kama wale wengine unachat nae baadae unasikia nina njaa mara nina matatizo ukiingia kingi umepigwa pesa pambaaaaf Njaa za kifala fala zitawaua kama unafanya biashara jianike tu na si kuleta usengerema wa kizamani..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sitaki hata kusikia huu mtandao, nilipata rafiki picha zake kama mnyarwanda anajiita mwanahawa dooo akanililia shida elfu 30 ile kumtumia ndio Ukawa mwisho wa urafiki wetu simu hapokei mwisho zikawa hazipatikani kabisa namba zake ni hz huyu tapeli 0718870900 na 0684642067
Kuna wanaume wengi huweka picha za kike na majina ya kike ili KUIBA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom