Hata Mimi nataka kujua.Tofauti na badoo..kuna dating site ipi nzuri kibongo bongo..yenye watu wanaojielewa angalau.
Sent using Jamii Forums mobile app
Daaah huyu Dada huku sinza anafahamika kaungua sasa endeleeni kupiga kavuKula mzigo mkuu, tena ulotambaa vidato[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
HahahahahaTeh teh, 50K per goli. Hilo goli itabidi ulinywee mkuyati ili lichukue 1hr, at least litakuwa na 'value for money', otherwise ni hasara kama unapiga cha dk5.
Pole Mkuu kwa yalikukutaSitaki hata kusikia huu mtandao, nilipata rafiki picha zake kama mnyarwanda anajiita mwanahawa dooo akanililia shida elfu 30 ile kumtumia ndio Ukawa mwisho wa urafiki wetu simu hapokei mwisho zikawa hazipatikani kabisa namba zake ni hz huyu tapeli 0718870900 na 0684642067
Mkuu pole sana ndio dunia lakini kuwaanika hadharani safi sana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] aiseeMimi alinambia anaishi Kimbiji, sasa kila nikicheki GPS inasema yupo kama km2 tu toka nilipo, kwavile kichwa cha chini kilinizidi akili nikamtumia hela, sasa hiyo asubuhi kwenye saa 3 hv, ikafika saa 7 nikamuuliza vp hujafika bado Akajibu yupo kwenye pikipiki, ikafika saa 10 nikamuuliza tena hujafika Akajibu nipo kwenye pikipiki, nikasema duh! Nishaliwa[emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu hapo lazima uingie king[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Unaweza kuona profile ina mambo matamu namna hiiView attachment 428770View attachment 428771View attachment 428772View attachment 428773View attachment 428774View attachment 428775View attachment 428776View attachment 428778Kumbe ni dume na madevu yake limetumia tu picha za watu kuvuta noti.
Hahahahahabadoo noma nilikutana na demu huko ananuka miguu balaaa
HahahahahaDuh!! Kumbe tuko wengi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahahahaha mkuu group gani huyo yupo maana hata Mimi yalinikuta kwa jina hilo hiloHii ya kutengeneza nywele nishaambiwa sana na Malaya mmoja huko wasap anaitwa viktoria
Duh! Kama wanapiga kavu majangaDaaah huyu Dada huku sinza anafahamika kaungua sasa endeleeni kupiga kavu
Juzi moja nilimuona tena nikamchomekea, kakiri kosa na kuomba msamaha[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] aisee
Zote ndio hivyo hivyo, jarbu fiesta, hot or not au taggedHata Mimi nataka kujua.
Eti mkuu alibakari tujuze site nyingine maana badoo sheria zake ngumu.
Nenda zorpia, delmy, waplogHata Mimi nataka kujua.
Eti mkuu alibakari tujuze site nyingine maana badoo sheria zake ngumu.
Mzee cyo wote ni wadada wengi ni wanaume wanatumua account za kike ili watengeneze pesaView attachment 426988Huu ni mwonekano wa profile langu
Ila WADADA jamani wana mambo ya ajabu sana, mtu utakuta ameweka picha kama 20 lakini 10 za Porn kuziona anakwambia umlipe 10,000. Duh, jamani hz biashara