Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

911e58cb2a04b57732410e2def37fdcf.jpg
2dc75b22e0e3817104e31ff7bfa99462.jpg
1fc8c8df7a8419a7c4cc636abea24524.jpg
e0bc4539f35cc371d875a018edb8da30.jpg

Biashara kongwe, haiwezi kuzuilika, aisee!!
 
Sitaki hata kusikia huu mtandao, nilipata rafiki picha zake kama mnyarwanda anajiita mwanahawa dooo akanililia shida elfu 30 ile kumtumia ndio Ukawa mwisho wa urafiki wetu simu hapokei mwisho zikawa hazipatikani kabisa namba zake ni hz huyu tapeli 0718870900 na 0684642067
Pole Mkuu kwa yalikukuta
 
Mimi alinambia anaishi Kimbiji, sasa kila nikicheki GPS inasema yupo kama km2 tu toka nilipo, kwavile kichwa cha chini kilinizidi akili nikamtumia hela, sasa hiyo asubuhi kwenye saa 3 hv, ikafika saa 7 nikamuuliza vp hujafika bado Akajibu yupo kwenye pikipiki, ikafika saa 10 nikamuuliza tena hujafika Akajibu nipo kwenye pikipiki, nikasema duh! Nishaliwa[emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] aisee
 
Nashukuru sijawahi kutapeliwa na hawa viumbe, maana nilimtafunaga mmoja, aliniambie nimtumie nauli ya boda boda nikamjibu, "chukua usafiri njoo mi nitalipia".akaniuliza, "nichukue usafiri gani?", nikamjibu, "wowote ule", akachukua boda boda akaja
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] aisee
Juzi moja nilimuona tena nikamchomekea, kakiri kosa na kuomba msamaha[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
bcb6d58f6a657e6a8b7722f62c936971.jpg

Sorry[emoji87]
mzee wa liver
Please usimwambie baby wangu kwenye lile jukwaa letu pendwa[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
Back
Top Bottom