Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Kilichofuata?.
 
Mi ni expert pande hizo, hata akiomba ataambulia maneno tupu[emoji38] [emoji38] haliwi mtu hapa[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
Baada ya kupigwa sanaaaaaa
 
Ha haaa Mkuu mbona kawaida tu si kama betting kuna kula na kuliwaaa...
Ni kama betting.....I like it. Kibaya zaidi hata huko mtaani tunabet pia. So badoo na kitaa ngoma draw.
 
Leo nimeona bora nijitoe kwenye badoo na pia nimefuta kabisa app yao, nataka niwe mtu mwema sahv
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]

Jamii Forums mobile app
Huwezi. Soon utarudi. Achana na ugonjwa wa mbunye na mapicha mchafu. Huo hauna tofauti na ugonjwa wa kupiga chabo.
 
Badoo wapo poa wastaarabu wanaotafuta wenza tu watulie...ila asilimia kubwa wapo kazini..!
 
Unamdai straight. Unamwambia sms niliyokutumia pesa hii apa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…