Asiyependa atakuwa na mapungufu
Nime install hii App leo, aise.... Nimeitoa kabisa. Ni fedheaNaomba username na paswed yako ya huko badoo niwe natumia mimi
Nime install hii App leo, aise.... Nimeitoa kabisa. Ni fedheaView attachment 1001987
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] una sort!Means uliseti uwe unasearch men.
Seti usearch women, unaweka na umri unaotaka.
Unatuharibia uzi wetu na vistory vyako watu wanataka wapate updated ya kinacheondelea huko badoo
Yupo wap mhusika mwenye hizi no mkuuMi nakupa hapa hapa nimsaidie kutangaza biashara!
+255 678 138 839 huyo ni noooumah
Kwangu inaniletea waliopo mbali na mkoa ninaoishiIngia play store search tantan install utwaona wengi walio jirani kwako
Sent using Jamii Forums mobile app
mimi nipo moshi lakin kila ninayemchek mbona ananiambia hafanyi? wapo wapi hao mkuu wanaofanya?
Nipo apa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ngoja niende badooo kutafuta wa kumsagaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Haaaaa uwa hawasemi direct ww omba namba mengine utamaliza inbox Sio una muabia unatoa hata kuambia hatoi tu ingia upande wa kushoto kwny vistari vitatu chagua settings jaribu kupunguza distance ya kmm
mimi nipo moshi lakin kila ninayemchek mbona ananiambia hafanyi? wapo wapi hao mkuu wanaofanya?