Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Naomba username na paswed yako ya huko badoo niwe natumia mimi
Nime install hii App leo, aise.... Nimeitoa kabisa. Ni fedhea
IMG_20190122_132614.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
m

mimi nipo moshi lakin kila ninayemchek mbona ananiambia hafanyi? wapo wapi hao mkuu wanaofanya?
Haaaaa uwa hawasemi direct ww omba namba mengine utamaliza inbox Sio una muabia unatoa hata kuambia hatoi tu ingia upande wa kushoto kwny vistari vitatu chagua settings jaribu kupunguza distance ya km

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom