Castle_Lite
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 806
- 1,537
Badoo ni kama ulevi Mwingne tu, usipokuwa Makini hauwez kuuacha kirahisi...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana bwana,Jf ina watu wanaojielewa kwa %kubwaBadoo mbali mbona hata hapa jf mambo ni moto
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi alinambia anaishi Kimbiji, sasa kila nikicheki GPS inasema yupo kama km2 tu toka nilipo, kwavile kichwa cha chini kilinizidi akili nikamtumia hela, sasa hiyo asubuhi kwenye saa 3 hv, ikafika saa 7 nikamuuliza vp hujafika bado Akajibu yupo kwenye pikipiki, ikafika saa 10 nikamuuliza tena hujafika Akajibu nipo kwenye pikipiki, nikasema duh! Nishaliwa[emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mmoja alinambia nikimtumia hela tu atakuja, c nilichanganyikiwa nikamtumia ndovu, Aisee!! Nampigia simu ananiambia yuko hospitali amelazwa, nilichanganyikiwaje[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hebu picha
Tanga hiyo mzazi mizigo mitamu kinyama halafu bei chee tuHebu picha
Baba hii kazi ipo vizuriTanga hiyo mzazi mizigo mitamu kinyama halafu bei chee tuView attachment 998948
Sent using Jamii Forums mobile app
Nemtafuta badoo yote sijamuona ***** zake @shenzy kabisa[emoji36][emoji36][emoji36]Noma sana BAD-OOView attachment 778131View attachment 778132
Mkuu inatoa huduma ya mlango wa dharura hii[emoji39]Tanga hiyo mzazi mizigo mitamu kinyama halafu bei chee tuView attachment 998948
Sent using Jamii Forums mobile app
jamani watu mmeacha kuleta mrejesho #hebu tuhangaike kidogo tulete mirejesho + na -#kula na kuliwa
kabisa mkuu inabidi ifanyike hivyoWasiache kuleta zile screenshots pia