Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Wewe ni shahidi, kwamba ni miongoni mwa walioliwa pesa zao au mlikuwa mnakula wote hela za wanaume?

Rudisha hela za watu.
 
'Mwana alijifanya mwanamke kipindi hicho katikati ya miaka ya 2000.. akaweka profile picha ya mdada aliitoa instagram ni pisi kinyama'.

Hii chai inaunguza sana.
 
Instagram miaka ya 2000?? WhatsApp miaka ya 2000?? Ngoja nirudi chimbo kwanza nifuatilie maana miaka hiyo nilikuambia kijijini nachunga ng'ombe sijui dunia ina vitu kama hvo

Anatufanya wote mazwazwa??

Tuliotumia smartphone kabla ya 2010 tunakumbuka mziki wa kuchat ulivyokua tukitumia ebuddy

Watsapp na insta za juzi huku badoo ishachuja??

Bora angesema mtandao wa hi5
 
Nilipoona mwaka uliotaja tu nikajua tu katika waleta chai jf, wewe ni hamnazo kabisa!
 
Anatufanya wote mazwazwa??

Tuliotumia smartphone kabla ya 2010 tunakumbuka mziki wa kuchat ulivyokua tukitumia ebuddy

Watsapp na insta za juzi huku badoo ishachuja??

Bora angesema mtandao wa hi5
Au Marafiki.com nimepata Sana vichwa mule. Yaani kila Aina Kuna siku niligonga wawili mmoja mzanzibari mwingine yupo Mlimani city tukionanan Hadi leo ananipa hata pale parking
 
Anatufanya wote mazwazwa??

Tuliotumia smartphone kabla ya 2010 tunakumbuka mziki wa kuchat ulivyokua tukitumia ebuddy

Watsapp na insta za juzi huku badoo ishachuja??

Bora angesema mtandao wa hi5
Hapo sasa!! Miaka ya 2000 hata sidhani kama smartphone zilikuepo sasa sijui hzo WhatsApp na Instagram alikua anazipata kwenye zile zimu sa Philips za mkonga!
 
kihisia ulishakazwa sana ....punga wewe, wa PUNYETO wameku-download mno
 
Mkuu hii chai sana na inaunguza sana, Instagram na WhatsApp hazikuwepo 2000 labda utuambie vizuri au ulirudi time travel ukiwa na simu yako ya smartphone ndo ukawa unatumia mwaka huo, duu wee noma.
 
Back
Top Bottom