Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo demu nampata anasema yeye ni chotara wa kihindiShayma nlimtia mwaka jana 2020, yaani tumefika room akaisokomeza ndani hata kabla sijavaa ndom. Ila alikua ananuka k balaa. Nilijuta sana, nikapima ngoma niko mzima.
Hana uchotara wa aina yoyote. Ni linene jeupe basi. Ila lina sura nzuri.Huyo demu nampata anasema yeye ni chotara wa kihindi
Alizidiwa nini ?
Na las Vegas huko nako ni balaaNani kakwambia mauza uza ya US yapo New York???
Kuna mji unaitwa new Orleans acha kabisa huko ni hatari
Waliopo mtaaani ndo hao hao wapo badooo,tofaut yao Ni soko.tena mpo nao kazin,ofisin,mtaani....Kuna watu wanastahili viboko tena vingi tuu, mtaani unaacha warembo unaowaona physically unaenda huko kwenye midosho ya Badoo alafu unategemea upate mume/mke mwema.
Hili si ni bwabwa ?View attachment 1890238
@Mshana Jr umeona chapati ya maji nyingine [emoji16]
hii mali naijua,ni ya kitambo zilianzaga whatsapp miaka ya 2016Shayma nlimtia mwaka jana 2020, yaani tumefika room akaisokomeza ndani hata kabla sijavaa ndom. Ila alikua ananuka k balaa. Nilijuta sana, nikapima ngoma niko mzima.
Umenitisha we dadaNimemmiss lagata. Dadekiiii nikisema suuuu mtanijua Ila haifai 🤣🤣
emu nipeni jina lake,nimewahi kuzisikia sehemukuna zile condom zinauzwa elf 50 zikiwa 3 ndio zinafaa kutumika hapo.
View attachment 1890238
@Mshana Jr umeona chapati ya maji nyingine [emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah huyu si "Muu" jomoneeeh, ngoja nimuambie amepostiwa had huku JF, uwiiiiihView attachment 1890238
@Mshana Jr umeona chapati ya maji nyingine [emoji16]
Wapo wapi mtu??Jamani kuna mtandao unaitwa badoo, yani huko kuna malaya wa kutupwa, siku hizi ukitaka msichana wa fasta we jiunge huko tu, wamezagaaa kama siafu ila kuna kamtimdo wadada wa huko wamebuni kama wanaambizana vile.
Ukichati nae tu kidogo utasikia,"naomba niazime 30000 nina shida sana, nitakurudishia ndani ya wiki moja".
Sasa mtu unajiuliza" namkopeshaje fedha mtu ambae sijawahi hata kumuona? Haaahaaa hiyo ndio hatari ya badoo bwana, yani ukikataliwa badoo basi wewe jichunguze una matatizo gani.