MWANAMKE BOMBA 2025

MWANAMKE BOMBA 2025

dume30

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2013
Posts
549
Reaction score
530
Habari Wana bodi ,Ikiwa Leo 8/3/2025 ni siku ya wanawake duniani kwa upekee kabisa mwaka huu naomba siku hii ni-dedicate kwa mwanamke wa nguvu Mkuu wa shule Chamazi Sekondari E.Chilewa .

Mama huyu ni mchapakazi na hodari katika kusimamia majukumu yake ipasavyo,kukuza vipaji vya uongozi,mfano Bora wa kuwahi kazini, kukuza ufaulu wa shule ,Kutekeleza kwa ufasaha miradi ya serikali anayopewa kusimami(Amesimamia ujenzi wa shule kama Dovya Sec,Imani dhabiti Sec pamoja na shule ya advance mpya ya Chamazi)

Vyombo husika naviomba vimmulike na darubini kwa ukaribu vitathibitisha haya yote anastahili Promotion,Mimi ni mzazi wa mwanafunzi na jirani ambaye naishi karibu na shule nimeyaona hayo natumaini watayaona mengi zaidi .

Inawezekana hayupo humu au yupo Pongezi nyingi zimfikie.

Heri kwako ya siku ya wanawake duniani Madam E.Chilewa.
 
Naomba expert member wenzangu na wengine hii thread itembee mama wa watu aonekane wakathibitishe apata walau U-Afisa Elimu she deserve it more .
 
Kiutendaji na uwajibikaji kwa upande wa wanawake pongezi zangu na salam za siku ya wanawake duniani zikufikie mama Mheshimiwa sana waziri Dkt. Gwajima D

Heri ya siku yenu hasa wanawake wachapakazi na waadilifu, tunaelewa na tunaithamini michango na juhudi zenu katika maendeleo.
 
Habari Wana bodi ,Ikiwa Leo 8/3/2025 ni siku ya wanawake duniani kwa upekee kabisa mwaka huu naomba siku hii ni-dedicate kwa mwanamke wa nguvu Mkuu wa shule Chamazi Sekondari E.Chilewa .

Mama huyu ni mchapakazi na hodari katika kusimamia majukumu yake ipasavyo,kukuza vipaji vya uongozi,mfano Bora wa kuwahi kazini, kukuza ufaulu wa shule ,Kutekeleza kwa ufasaha miradi ya serikali anayopewa kusimami(Amesimamia ujenzi wa shule kama Dovya Sec,Imani dhabiti Sec pamoja na shule ya advance mpya ya Chamazi)

Vyombo husika naviomba vimmulike na darubini kwa ukaribu vitathibitisha haya yote anastahili Promotion,Mimi ni mzazi wa mwanafunzi na jirani ambaye naishi karibu na shule nimeyaona hayo natumaini watayaona mengi zaidi .

Inawezekana hayupo humu au yupo Pongezi nyingi zimfikie.

Heri kwako ya siku ya wanawake duniani Madam E.Chilewa.
Picha ,,Iiii wapiiii?
 
Back
Top Bottom