Mwanamke fahamu mambo haya kabla hujawa mchepuko wa mume wa mtu

Mwanamke fahamu mambo haya kabla hujawa mchepuko wa mume wa mtu

Maelezo meeeengi, hebu michepuko watengwe kidogo

Kuna muda wanasaidia sana pale njia kuu inaposumbua
Kuna tajiri mmoja mkubwa hapa Mwanza , aliyemuokoa ni mchepuko akamfichia Mali zake za magendo Mana walienda kusachi kwake hawakukuta kitu
 
Siwashauri bali ndio hali halisi ya maisha .Watoe kimipango aisee wanagawa mnoo wapunguze kugawa.
Sidhani kama mama yako angegawa kimipango ungekuwa na ujasiri wa kuandika kipuuzi hivi, au wewe hukulelewa ktk malezi ya baba na mama?
 
Bongo kwa kujadili nonesense issues kama michepuko na Simba/Yanga wako makini kweli kweli.
Hawajadili ni kwa nini umbali kutoka Ethiopia mpaka Arusha/Kilimanjaro ni KM 1,935.5
Na umbali kutoka Arusha/Kilimanjaro mpaka Rufiji(kwenye bwawa la kuzalisha umeme) ni KM 805.6 lakini kodi za walalahoi zinaenda kununu umeme Ethiopia badala ya kununua kutoka Rufiji ambapo tulishaambiwa kuwa umeme umezidin mpaka mitambo mingine imezimwa.
Inasikitisha
 
Sidhani kama mama yako angegawa kimipango ungekuwa na ujasiri wa kuandika kipuuzi hivi, au wewe hukulelewa ktk malezi ya baba na mama?
Enzi hizo watu walikuwa wanaolewa wakiwa wadogo na wazazi walikuwa wanawachagulia mabinti zao waume.Hauwezi kuwambia wakae bila kumbatona maana tunajua hilo haliwezekani. Cha msingi ni kugawa kimipango mi nashangaa unaona mwanamke anaolewa na mtu kisa anajua kumbato vizuri. Utadhani watoto watakula mapenzi aisee. Wanawake wengi hawajui thamani zao maisha hayana formula ndugu yangu.
 
Maadamu huo mchepuko sio mke wa mtu haina madhara hasa ikiwa mke ndani ya ndoa anazingua kutoa unyumba kwa namna baba anaridhika. Wanawake (wake) ndani ya ndoa ni vizibo tu yaani unampangia mume apige vingapi ati kimoja tu ukichelewa kukitupa anauliza "bado tu bado tu Leo unataka kupitiliza viwili kabisa" ukiendelea anakufinya finya kiunoni umuachie mwishowe unamuacha au unakomaa Ila ukimaliza ni maumivu ya makucha talking from experience. Kudadeki.
 
Tunafany mambo yanakuwa magumu mno na muda huu mfupi wa kuishi Duniani.

Wewe uliyeolewa tunza Mume wako,uliyeoa tunza mke wako.

NDOA wengi tunajua ni UTAMU 100% changamoto ziwe chache chache..sasa unakuta utamu -100% then unategemea mtu asitafute mtu mwingine?Haiwezekani.
Hawa wanaitw michepuko ni watu kama sisi tu..Jamii ndio inafanya mambo ya hovyo hovyo kubagua watu.

Wanaume muda wa tezi dume utakufikia mapema kama utapangiwa pangiwa ratiba za tendo kama vipindi vya television.

Tembeza rungu kwa utulivu...
 
Unafikiri huwa tunajua basi kama ameoa

Wewe umekutana na mtu mjini hapa kumbe ana mke mkoani na huoni red flag yoyote kwamba ni mume wa wenyewe…

Unakuja kujua ameshakuzalisha

Na mlivyo na Roho mbaya wanaume ninyi mnaenda mbali mpk kumtolea binti mahari kumbe ulishaoagaa

Jamani wanawake mnaowaroga hawa wanaume… msiachee endeleeni haiwezekani waharibu maisha ya wanawake halafu sisi ndio tuonekane tumejitakia
 
Ukubali ukatae huu ndio ukweli na utabaki kuwa ukweli,

1) Ukiwa umetoka kula bata na mume wa mtu,
Wewe utaenda nyumbani kwenu lakini yeye atarudi nyumbani ambapo anaishi na familia yake.

2) Kumbuka kua mkimaliza ku sex nae hutupa condom ambazo mlitumia mbali zaidi,
Ili mke wake asifkirii chochote na anafanya hivo kwa hofu ili asivunje ndoa yake.

3) Akifika barabani hununua pipi ili asafishe harufu yako yote,
Hufanya hivyo Ili kuilinda ndoa yake isivunjike.

4) Mara nyingi wanaume wenye tabia kama hii,
Hujutia sana kufanya uhalifu huo wakati wakiendesha gari kuelekea majumbani kwao.

5) Kumbuka akimaliza ku sex nawewe lazima aende bafuni aoge vizuri,
Ili aondowe jasho lako chafu Ili akienda kwa familia yake awe msafi.

6) Wengi wao wakati wakiwa bafuni hujutia saaana,
Kwa kuona wamemaliza ku cheat na kusema kua,
Kamwe hawawezi kufanya kitendo kibaya kama hicho tena.

7) Waume wenye tabia kama hizi wanaporudi home,
Huwa kumbatia wake zao na kuanza kujali watoto muda ule.

8) Acha ni waambie kitu nyie wanawake,
Waume za watu huwatafuta nyie michepu,
Wakati akiwa na stress na mke wake kipenzi,
Lakini si kwamba anakupenda kweli hapana.

9) Ukiwa mchepuko wanaume hukuchukulia kama bidhaa za dukani,
Kwa sababu kuna ambazo zinagharama lakini ni used.

10) Atatumia gharama zote zote ili akupate,
Lakini si kwamba anakupenda weli hapana,
Yupo nawewe kwa tamaaa zake tuu za mwili,
Lakini akili na mapenzi ya dhati vipo kwa mkewe.

11) Watu hawawezi kukuheshimu ikiwa wewe unapendwa na mume wa mtu Nooo,
Na hiyo sio sifa nzuri katika jamii haijalishi wewe ni mzuri kiasi gani,
Hata kama ukiwa umeenda chuo cha Harvard,
Ukiwa na tabia hiyo watu watakuweka katika nafasi ambayo haustahili kuwepo dada angu.

12) Umehongwa zaidi ya milioni 10 na umempelekea mama yako milioni 2,
Mama yako anainua mikono kwa Mungu anaomba dua,
Eweeee Mungu wa Mbinguni naomba ummbariki mwanangu,
Apate zaidi hivi mama yako anafahamu sehemu ambapo umetoa hizo pesa,
Hajui kua umepewa kwa njia ya uzinifu wala hajui maskini ya Mungu,
Hiyo dua Huwa inageuka na kuwa laana kubwa kwako.

13) Tambua kua tofauti yako na malaya anaejiuza,
Ni vile yeye anatambulika na kila mtu tu basi,
Lakini wewe ni wakisiri siri tuu lakini wote ni malaya.

Dada yangu ambae bado hujaolewa hujachelewa,
Tambua thamani yako ili uwe na malengo wewe ni zaidi ya jinsi unavyojifkiria,
Acha kabisa tabia za kuwatafuta sugar Daddy,
Pesa zao haziwezi kukufkisha sehemu yoyote,
Kwa sababu zina nuksi, mikosi na laaana tuuupu,
Tambua thamani yako na umsubiri mwanaume ambaye ni sahihi kwako,
Wanaume wenzangu naomba tuwe tunawafunza dada zetu,
Heshima na thamani yao na pia tuwafunze wake zetu,
Jinsi yakuwashauri binti zetu ili wasiishi katika tamaa za wenye pesa,
Wewe mwanamke tambua Mungu hajakuumba ili uwe chanzo cha ndoa za watu kuvunjika,
Mwanamke acha tamaa ridhika na ulichonacho,
Tambua kua siku zote mwanaume mzinifu,
Na asie muheshimu mke wake hata wewe atakuafanyia hivyohivyo akikuoa.
Tatizo tunavichukulia hivi viumbe kama kwamba havina akili na vinafanya uzinzi bila utashi Wao. Haya ni makosa makubwa sana ya jamii kwa sasa.
 
Back
Top Bottom