Mwanamke Gharama by dogo diamond platinum.

Mwanamke Gharama by dogo diamond platinum.

KING DUBU

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2017
Posts
919
Reaction score
1,239
Wimbo murua Sema Msitari unaosema Hata uwe na Mashine Kama Punda ni bora zaidi.
 
Dogo anajua!
Ila Raymond ndio anamtungiaa
 
wimbo huu hapa, namna ya kuaplod unanisumbua wakuu.
 
Acha wenye mashine waringie mashine zao,na nyie wazee wa gharama tambeni na pesa zenu...
 
Sijawahi kuchukua demu kutumia pesa na always niko na watoto wakali.
 
watakuwa wanakugongea kila siku wenye pesa zao


Man you don't know what you're talking about. Kama demu wako analala na a Clown for money basi huyo ni Changudoa, bwaga haraka sana asikuletee mikosi. Kitu kingine hao wenye pesa mara nyingi ndio wanachapiwa
 
Back
Top Bottom