CORAL
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 2,813
- 1,827
Kama je ni mwanafunzi, na una malengo ya kumuoa badae.Chukulia ni mwanafunzi form six
Kwanza wanaume ndio chanzo kikuu cha wadada kutoa mimba. Akiambiwa atumie kondom anasema atatumiaje kwa mke mtarajiwa. Mimba ikiota anasema bora kuitoa maana hajajiandaa kubebajukumu ya familia,.nk Hapo ushukuru hajakutimua.