Mwanamke huyu ana dhamira gani?

Status
Not open for further replies.
We jamaa naomna nitangulie na kusema "Lofa ww" [emoji23][emoji23][emoji23] hebu acha ujinga japo kwa heshima yangu tu. Leo ita huyo mjane umpelekee moto wa tipa
Mkuu wangu nakuheshimu sana hata wazo lako naliheshimu kivyovyote uwe umetukana ama.umenisifia lakini mkuu hii ni vita baridi ,huyo X wangu alisababisha hadi nikauza Gari langu na huyu rafiki yake anajua nilifanyiwa hujuma hata hisia sina mkuu.
 
Sasa kama huna hisia nae si
Mkuu wangu nakuheshimu sana hata wazo lako naliheshimu kivyovyote uwe umetukana ama.umenisifia lakini mkuu hii ni vita baridi ,huyo X wangu alisababisha hadi nikauza Gari langu na huyu rafiki yake anajua nilifanyiwa hujuma hata hisia sina mkuu.
umblock, kwani tatizo liko wapi au simu yako haina blacklist option.?
 
Me huwa naonaga the best option ni kijitenga na kila mhusika. Awe rafiki, bibi hale ama mjomba wake. Wapotezee wote. Na unawezaje kufanya sex na mtu humpendi? Kwanini ujitese? Fanya kama amekufa yeye na ex wako. Naona kama ni kujiongezea matatizo tu. Utakua nae huyo shogake halaf upate matatizo kimbilio liwe hapa tena. Nadhan urelax tu mpenz. Focus na maisha. Mapenzi si adhabu.

Kuhusu kukodi chumba hata sikulaumu maana hiyo ni nguvu ya pombe unakua weak lakini nikupongeze pia kwa kutokubali kushiriki tendo. Maybe ukute hata ana maradhi yake ama ujauzito alubambikizie. Walimwengu wamebadilika sana siku hizi hawana utu
 
Si bora mtoto,ukute janamke limeungua,bora ulilipotezea .mkimbie atakuangushia jumba bovu.kufanya ngono bila mpango sio ujanja wala nini ..
[emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1666]
 
Mkuu au mimi ni hizi nyege zinanisumbua maana nimeishia kukutukana hapa unawezaje kukaa na dem mpaka panakucha tena guest na sio dada yako
 
Ukalipia room halafu mkaoga mkisubiri hayo maongezi

Kwa sasa anakuona kama shoga yake tu japo hakwambii
 
Si bora mtoto,ukute janamke limeungua,bora ulilipotezea .mkimbie atakuangushia jumba bovu.kufanya ngono bila mpango sio ujanja wala nini ..
Mkuu nili sacrifice pesa nikiwa najuwa napata njia ya kusolve tatizo langu maana nimepoteza gari langu kwa ajiri ya X na X ni rafiki yake na huyu demu. Mbaya zaidi nikiwa mtungi sinaga hamu na wanawake
 
Umeongea vizuri sana Pendo kwa kweli asubuhi yake nilijipongeza kwa kujipiga kifua. Hali sio poa.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…