Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu wangu nakuheshimu sana hata wazo lako naliheshimu kivyovyote uwe umetukana ama.umenisifia lakini mkuu hii ni vita baridi ,huyo X wangu alisababisha hadi nikauza Gari langu na huyu rafiki yake anajua nilifanyiwa hujuma hata hisia sina mkuu.We jamaa naomna nitangulie na kusema "Lofa ww" [emoji23][emoji23][emoji23] hebu acha ujinga japo kwa heshima yangu tu. Leo ita huyo mjane umpelekee moto wa tipa
umblock, kwani tatizo liko wapi au simu yako haina blacklist option.?Mkuu wangu nakuheshimu sana hata wazo lako naliheshimu kivyovyote uwe umetukana ama.umenisifia lakini mkuu hii ni vita baridi ,huyo X wangu alisababisha hadi nikauza Gari langu na huyu rafiki yake anajua nilifanyiwa hujuma hata hisia sina mkuu.
InawezekanaLikizo time ...shule zmefungwa
Nije nifanye nini?Hahahahaha mkuu kama upo tayari njoo Niko Tabata Bima hapa
Mwenyewe lakinHivo yani kmkmkmk
Si bora mtoto,ukute janamke limeungua,bora ulilipotezea .mkimbie atakuangushia jumba bovu.kufanya ngono bila mpango sio ujanja wala nini ..Unatafutiwa mtoto au ubabimbikiwe mtoto .kimbia mpaka umalize mwezi miwili hivi.
[emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1666]Si bora mtoto,ukute janamke limeungua,bora ulilipotezea .mkimbie atakuangushia jumba bovu.kufanya ngono bila mpango sio ujanja wala nini ..
Mkuu au mimi ni hizi nyege zinanisumbua maana nimeishia kukutukana hapa unawezaje kukaa na dem mpaka panakucha tena guest na sio dada yakoWakuu hili swali sijawauliza ninyi ila nimejiuliza mwenyewe sijapata jawabu mnaweza kunisadia.
Huyu ni mwanamke rafiki ake na mpenzi wangu wa zamani ,anajuwa nilivo kuwa na care rafiki yake sema tulikuja kuachana baada ya kuniingiza hasara kubwa kiuchumi na kifikra na ndo alikuwa mpenzi wa mwisho kuwa nae kabla sijahamia kwenye kunywa masanga kama kipozeo.
Last month aliniambia anahitaji nimtoe out tukaongee akidai ana issue kubwa ya kunambia, sikusita kwa sababu nilikuwa na mpunga wa kutosha si unajuwa mwisho wa mwezi tena.
Tulikaa sehemu tukapiga masanga baada ya kulewa akaanza kuniponda kwamba nimemwacha rafiki yake, mtu mzima nikawaza ina maana kaniita hizi lawama means hajui kama rafiki yake ndo alikuwa tatizo!
Iko mida ya saa 7 usiku akasema anahitaji akalale, nikwamwambi ngoja niite boda akupeleke akazinda anataka tuondoke nae nikasema sio tabu, tuko kwa boda ananambia haendi home kwake anataka nichukue chumba guest tukaongee maana jambo lenyewe hajanambia.
Nikamwambia poa. Wakuu hakuamini nimechukua room nikaoga akaoga tukalala kajiachia kama yupo na bwana wake mimi nikatupia suruali langu na mkanda juu mkao wa kusikia alichoniahidi, ukumbuke tulikuwa mtungi wote ila yeye alihelemewa sana.
Huwezi amini hadi asubuhi hatujalala maana nilivoona mizinguo nikahamia kuangalia TV hadi asubuhi, alibaki na mshangao hadi anaondoka.
Jana kanichek kwa phone tuonane nikamkatalia, katuma meseji kibao anadai nimkubalie wala X wangu hatajuwa.
Hapa nilipo najiuliza niumize au niendee kunywa pombe zangu zinazo nisaidia kuondoa genye ?
Mbona namuona kama na yeye ni tatizo au nifanyeje huyu mdada, kiukweli kaumbika na rangi ya mtume shape kama 8 japo hamzidi X wangu!
Niko njia panda ,baada ya kuwaza sana sahivi Niko nakunywa masanga hapa kwa mangi nikasema.niwashirikishe kidogo!
Ni hayo tu.
Mkuu nili sacrifice pesa nikiwa najuwa napata njia ya kusolve tatizo langu maana nimepoteza gari langu kwa ajiri ya X na X ni rafiki yake na huyu demu. Mbaya zaidi nikiwa mtungi sinaga hamu na wanawakeSi bora mtoto,ukute janamke limeungua,bora ulilipotezea .mkimbie atakuangushia jumba bovu.kufanya ngono bila mpango sio ujanja wala nini ..
Umeongea vizuri sana Pendo kwa kweli asubuhi yake nilijipongeza kwa kujipiga kifua. Hali sio poa.Me huwa naonaga the best option ni kijitenga na kila mhusika. Awe rafiki, bibi hale ama mjomba wake. Wapotezee wote. Na unawezaje kufanya sex na mtu humpendi? Kwanini ujitese? Fanya kama amekufa yeye na ex wako. Naona kama ni kujiongezea matatizo tu. Utakua nae huyo shogake halaf upate matatizo kimbilio liwe hapa tena. Nadhan urelax tu mpenz. Focus na maisha. Mapenzi si adhabu.
Kuhusu kukodi chumba hata sikulaumu maana hiyo ni nguvu ya pombe unakua weak lakini nikupongeze pia kwa kutokubali kushiriki tendo. Maybe ukute hata ana maradhi yake ama ujauzito alubambikizie. Walimwengu wamebadilika sana siku hizi hawana utu