April26
JF-Expert Member
- Jul 14, 2020
- 1,405
- 2,147
Wakuu hili swali sijawauliza ninyi ila nimejiuliza mwenyewe sijapata jawabu mnaweza kunisadia.
Huyu ni mwanamke rafiki ake na mpenzi wangu wa zamani ,anajuwa nilivo kuwa na care rafiki yake sema tulikuja kuachana baada ya kuniingiza hasara kubwa kiuchumi na kifikra na ndo alikuwa mpenzi wa mwisho kuwa nae kabla sijahamia kwenye kunywa masanga kama kipozeo.
Last month aliniambia anahitaji nimtoe out tukaongee akidai ana issue kubwa ya kunambia, sikusita kwa sababu nilikuwa na mpunga wa kutosha si unajuwa mwisho wa mwezi tena.
Tulikaa sehemu tukapiga masanga baada ya kulewa akaanza kuniponda kwamba nimemwacha rafiki yake, mtu mzima nikawaza ina maana kaniita hizi lawama means hajui kama rafiki yake ndo alikuwa tatizo!
Iko mida ya saa 7 usiku akasema anahitaji akalale, nikwamwambi ngoja niite boda akupeleke akazinda anataka tuondoke nae nikasema sio tabu, tuko kwa boda ananambia haendi home kwake anataka nichukue chumba guest tukaongee maana jambo lenyewe hajanambia.
Nikamwambia poa. Wakuu hakuamini nimechukua room nikaoga akaoga tukalala kajiachia kama yupo na bwana wake mimi nikatupia suruali langu na mkanda juu mkao wa kusikia alichoniahidi, ukumbuke tulikuwa mtungi wote ila yeye alihelemewa sana.
Huwezi amini hadi asubuhi hatujalala maana nilivoona mizinguo nikahamia kuangalia TV hadi asubuhi, alibaki na mshangao hadi anaondoka.
Jana kanichek kwa phone tuonane nikamkatalia, katuma meseji kibao anadai nimkubalie wala X wangu hatajuwa.
Hapa nilipo najiuliza niumize au niendee kunywa pombe zangu zinazo nisaidia kuondoa genye ?
Mbona namuona kama na yeye ni tatizo au nifanyeje huyu mdada, kiukweli kaumbika na rangi ya mtume shape kama 8 japo hamzidi X wangu!
Niko njia panda ,baada ya kuwaza sana sahivi Niko nakunywa masanga hapa kwa mangi nikasema.niwashirikishe kidogo!
Nyongeza: baada ya matatizo na huyu X wangu ilibidi niuze gari langu maisha yakaendelea, Nina machungu mengi SIJUI LINI NITAPATA MWANAMKE WA KUNIELEWA moyo unaumia sana navoona bado nawindwa.
Ni hayo tu.
Huyu ni mwanamke rafiki ake na mpenzi wangu wa zamani ,anajuwa nilivo kuwa na care rafiki yake sema tulikuja kuachana baada ya kuniingiza hasara kubwa kiuchumi na kifikra na ndo alikuwa mpenzi wa mwisho kuwa nae kabla sijahamia kwenye kunywa masanga kama kipozeo.
Last month aliniambia anahitaji nimtoe out tukaongee akidai ana issue kubwa ya kunambia, sikusita kwa sababu nilikuwa na mpunga wa kutosha si unajuwa mwisho wa mwezi tena.
Tulikaa sehemu tukapiga masanga baada ya kulewa akaanza kuniponda kwamba nimemwacha rafiki yake, mtu mzima nikawaza ina maana kaniita hizi lawama means hajui kama rafiki yake ndo alikuwa tatizo!
Iko mida ya saa 7 usiku akasema anahitaji akalale, nikwamwambi ngoja niite boda akupeleke akazinda anataka tuondoke nae nikasema sio tabu, tuko kwa boda ananambia haendi home kwake anataka nichukue chumba guest tukaongee maana jambo lenyewe hajanambia.
Nikamwambia poa. Wakuu hakuamini nimechukua room nikaoga akaoga tukalala kajiachia kama yupo na bwana wake mimi nikatupia suruali langu na mkanda juu mkao wa kusikia alichoniahidi, ukumbuke tulikuwa mtungi wote ila yeye alihelemewa sana.
Huwezi amini hadi asubuhi hatujalala maana nilivoona mizinguo nikahamia kuangalia TV hadi asubuhi, alibaki na mshangao hadi anaondoka.
Jana kanichek kwa phone tuonane nikamkatalia, katuma meseji kibao anadai nimkubalie wala X wangu hatajuwa.
Hapa nilipo najiuliza niumize au niendee kunywa pombe zangu zinazo nisaidia kuondoa genye ?
Mbona namuona kama na yeye ni tatizo au nifanyeje huyu mdada, kiukweli kaumbika na rangi ya mtume shape kama 8 japo hamzidi X wangu!
Niko njia panda ,baada ya kuwaza sana sahivi Niko nakunywa masanga hapa kwa mangi nikasema.niwashirikishe kidogo!
Nyongeza: baada ya matatizo na huyu X wangu ilibidi niuze gari langu maisha yakaendelea, Nina machungu mengi SIJUI LINI NITAPATA MWANAMKE WA KUNIELEWA moyo unaumia sana navoona bado nawindwa.
Ni hayo tu.