Id mpya lazima zimuhusu. Siku hizi mtu akikuogopa kukupa makavu anatafuta id mpya anaijaza ujinga wake anaruka nayo hewani
Ata sizipendi sema tu uzi ulimdiss mwanamke anaevaa hivyo ndio maana nilitaka picha yake...Mkuu unapenda sketi ndefu? Mie niwe mkweli tu sketi ndefu sizipendi hata kidogo zile ni za kuvaliwa na Mabibi zetu aka Nyanya.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ningekushtua mapema Mwifwa angenuna ndio mana nilikua nakukonyeza wewenae hukua unanielewa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] sawa natangulia[emoji124] [emoji124] [emoji124]Swali lako jepesi sana, ila jibu lake gumu [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Msukule kishakufa huko sebleni unadhani kuna kurudi sasa hivi hiyo....Uwahi kurudi
Hewaaa huoni faida zinaongezeka sasaPia misitu inazuia upepo mkali kama Tufani, Kimbunga ili isiweze kuzoa mapaa ya nyumba
Pia misitu inazuia upepo mkali kama Tufani, Kimbunga ili isiweze kuzoa mapaa ya nyumba
HahahahahahaaaaMsukule kishakufa huko sebleni unadhani kuna kurudi sasa hivi hiyo....
Hivi umenielewa kweli ni kwamba alivyonikuta na mavazi yangu na yeye pia anayapenda wala hajanikataza nawaza tu ningekatazwa ingekuwaje
Msikate miti ovyoHewaaa huoni faida zinaongezeka sasa
Ata sizipendi sema tu uzi ulimdiss mwanamke anaevaa hivyo ndio maana nilitaka picha yake...
Yale madini umeshisha kule maeneo yetu ile ndio mikato yenyewe sasa mkuu...
WamekusikiaMsikate miti ovyo
Hahah! Lazima atuonyeshe uumbwajiUnaona eeh! Sasa mtu kaumbwa akaumbika ana guu la haja anaenda kulificha kwenye sketi ndefu!
Sasa mkuu mbona hujui kupindisha ukiwa unaangalizia jibu, Mwalimu hatashtuka na kujua kuwa uliibia/ulinakili[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Kabisa Mkuu na ndiyo sababu Muumba wetu akatuletea misitu duniani. Sasa wengine wanajifanya wajuaje sana wanaharibu misitu yote hawajui kama ina umuhimu mkubwa sana katika kuleta mvua, na ile harufu nzuri hasa mvua inaponyesha ambayo huvutia sana na pia kulinda dunia yetu na magharika mbali mbali ikiwemo mmomonyoko wa ardhi LOL!
Ndugu anakukataza unafki tu na wivu. We ukivaa dera anakuja kwa kina sie wavaa shorts. Haki mi mume akataze vyote ila sio kuvaa na nywele
Sasa mkuu mbona hujui kupindisha ukiwa unaangalizia jibu, Mwalimu hatashtuka na kujua kuwa uliibia/ulinakili[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
HahahaahaaaaKwenye mtihani wakati mwingine majibu hufanana Mkuu na haina maana mmoja kanakili majibu ya mwenzie ππ
Ndo nn?Masuria
OokyHizi ngumu hazifai na ukiwa na kawaida ya kupunguza hazikomai
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji106]Hutukuti hii hali si salama sana kwa kukesha