BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Kumbe eh? Mie huwa natoa za uso tena kavu kavu na hii hii tu huo muda wa kuanza kucheza na ID nyingine sinao. Halafu mwandiko wa BAK ulivyo mbaya ni rahisi tu kuugundua kwenye ID mpya.
Id mpya lazima zimuhusu. Siku hizi mtu akikuogopa kukupa makavu anatafuta id mpya anaijaza ujinga wake anaruka nayo hewani