Mwanamke Kaumbwa Kuburudisha Iweje Atake Kuridhishwa Yeye? Wamepindua Meza Au?

Mwanamke Kaumbwa Kuburudisha Iweje Atake Kuridhishwa Yeye? Wamepindua Meza Au?

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Kwanini wanakata viuno na wanafundishwq kukata viuno msingi wa hizi trainings au mafundisho ni nini? Tusipoteze nguvu sisi tutafute pesa wao waburudishe naongezea hapa chini maelezo.

Katika akili za haki na za kawaida na za kiumbaji, kiutamaduni na kibiashara mwanamke ameumbiwa Kuburudisha na amburudishe mwanaume, Sasa Cha ajabu mwanamke anahama jukumu lake la Kuburudisha au kuintertain, na hapa nisiongee mengi ndiomana tunalipa mahari, tunawanunua kwenye madanguro, sehemu zote za starehe, casinos, maclub, na hata free entrance sehemu za starehe baadhi ni Kwa muktadha huo wa kunogesha Kuburudisha

Mfano mwanaume ameumbiwa kutafuta mahitaji ya lazima ya ndani ya ndoa kama chakula, mavazi, na mengineyo, hivyo ifahamike kama ilivyo mwanamke yeye ndiye wa kumburudisha mwanaume,

Habari ya mwanamke kudai Kuridhishwa ni mapinduzi ya kijeshi katika taratibu na miongozo ya maisha.
Mwanamke anapaswa kujiandaa kujiridhisha mwenyewe katika zoezi zima la uburudishaji, in the process of entertaining a man every woman should equally go through self satisfaction because of stimulus and energy for the activity.

Kuburudisha ni wajibu wa wanawake and that's why we me pay bills for them, that why we men marry them.

Even by giving them sperms for pregnancy that the basic role of a sex recipient to facilitate a better taste of recieval.

Nimechokoza mjadala tuanzie hapo kurudi kwenye msingi.
Mwanaume usiteseke na habari ya kumridhisha mwanamke ni wajibu wake kukuhudumia a.k.a kukuridhisha wewe kitandani na maswala mengine.

Ukibisha hainihusu.

Wadiz a.k.a Master Donlee
Am out yayayayayaaa
 
Kugegedana kwa wanaume kumegeuka na kuwa performance exam badala ya enjoyment. Mwanaume unakuwa na presha ya kumfikisha mwenzio kileleni japo hata wenyewe wanajua kuwa si mara zote wanaweza kufika kileleni hasa kama moods iko off au wana stress na madeni huko au migogoro ya kinafsiya. Sasa mwanaume utahangaika weee mtu jicho kavuu hana hata dalili za kufika kileleni mpaka unajisikia kama vile umeunderperform chini ya kiwango kumbe kuna ishu zingine tu.

It takes away from the enjoyment of sex....
 
Mngebaki na misimamo hio basi gays wasingeongezeka badala ya kutaka mburudishwe mmeanza kutaka kuwa waburudishaji,zama zimebadilika.Badili mtazamo wako maana hata wanaume wananunuliwa. Kuna jamii mwanaume ndie anayetolewa mahari.

Mwanamke nae ni binadamu mwenye hisia. Mahari unatoa ili akuongezee uzao,ukoo,familia
 
Kugegedana kwa wanaume kumegeuka na kuwa performance exam badala ya enjoyment. Mwanaume unakuwa na presha ya kumfikisha mwenzio kileleni japo hata wenyewe wanajua kuwa si mara zote wanaweza kufika kileleni hasa kama moods iko off au wana stress na madeni huko au migogoro ya kinafsiya. Sasa mwanaume utahangaika weee mtu jicho kavuu hana hata dalili za kufika kileleni mpaka unajisikia kama vile umeunderperform chini ya kiwango kumbe kuna ishu zingine tu.

It takes away from the enjoyment of sex....
Ni makosa mwanamke ndio anapaswa kuhangaika akikuburudisha na kuhakikisha umefurahia mchezo tena Kwa tabasamu na kurembua macho akusemeshe vipi Dad unajisikia utamu au niongeze manjonjo.
 
Mngebaki na misimamo hio basi gays wasingeongezeka badala ya kutaka mburudishwe mmeanza kutaka kuwa waburudishaji,zama zimebadilika.Badili mtazamo wako maana hata wanaume wananunuliwa. Kuna jamii mwanaume ndie anayetolewa mahari.

Mwanamke nae ni binadamu mwenye hisia. Mahari unatoa ili akuongezee uzao,ukoo,familia
Au sio 50/50
 
Mngebaki na misimamo hio basi gays wasingeongezeka badala ya kutaka mburudishwe mmeanza kutaka kuwa waburudishaji,zama zimebadilika.Badili mtazamo wako maana hata wanaume wananunuliwa. Kuna jamii mwanaume ndie anayetolewa mahari.

Mwanamke nae ni binadamu mwenye hisia. Mahari unatoa ili akuongezee uzao,ukoo,familia
Ndio hivyo mwanamke Kaumbwa na jukumu la Kuburudisha
 
Ndo maana nasema zama zimebadilika mkuu. Mtaishia kuchapiwa,maana sio kila mwanaume ana mentality ya kuburudishwa wapo wanaoburudisha wanawake pia. Kila binadamu anapenda starehe
Ndio hivyo mwanamke Kaumbwa na jukumu la Kuburudisha
Nope mkuu siamini kwenye 50/50 ni impossible mission
Au sio 50/50
 
Ndo maana nasema zama zimebadilika mkuu. Mtaishia kuchapiwa,maana sio kila mwanaume ana mentality ya kuburudishwa wapo wanaoburudisha wanawake pia. Kipa binadamu anapenda starehe

Nope mkuu siamini kwenye 50/50 ni impossib
Sijaamini kama Leo nimekuibua toka mafichoni legend wa nguvu kabisa Numbisa, uko well mannered sana 💋💋💋
 
Wanawake wahuni wanapindua meza kibabe bill za maisha walipiwe na kuburudishwa waburudishwe yani mwanamke umempa hela kisha unamuuliza umeenjoy leo wakt swali hilo alipaswa kukuuliza ww
 
Wanawake wahuni wanapindua meza kibabe bill za maisha walipiwe na kuburudishwa waburudishwe yani mwanamke umempa hela kisha unamuuliza umeenjoy leo wakt swali hilo alipaswa kukuuliza ww
Hii ndio hali halisi, nimpe pesa na nihangaike mimi hio hapana, mwanamke kazi yake ni kuniburudisha na inabidi awe na hofu kama sijafurahia.
 
Kwanini wanakata viuno na wanafundishwq kukata viuno msingi wa hizi trainings au mafundisho ni nini? Tusipoteze nguvu sisi tutafute pesa wao waburudishe naongezea hapa chini maelezo.

Katika akili za haki na za kawaida na za kiumbaji, kiutamaduni na kibiashara mwanamke ameumbiwa Kuburudisha na amburudishe mwanaume, Sasa Cha ajabu mwanamke anahama jukumu lake la Kuburudisha au kuintertain, na hapa nisiongee mengi ndiomana tunalipa mahari, tunawanunua kwenye madanguro, sehemu zote za starehe, casinos, maclub, na hata free entrance sehemu za starehe baadhi ni Kwa muktadha huo wa kunogesha Kuburudisha

Mfano mwanaume ameumbiwa kutafuta mahitaji ya lazima ya ndani ya ndoa kama chakula, mavazi, na mengineyo, hivyo ifahamike kama ilivyo mwanamke yeye ndiye wa kumburudisha mwanaume,

Habari ya mwanamke kudai Kuridhishwa ni mapinduzi ya kijeshi katika taratibu na miongozo ya maisha.
Mwanamke anapaswa kujiandaa kujiridhisha mwenyewe katika zoezi zima la uburudishaji, in the process of entertaining a man every woman should equally go through self satisfaction because of stimulus and energy for the activity.

Kuburudisha ni wajibu wa wanawake and that's why we me pay bills for them, that why we men marry them.

Even by giving them sperms for pregnancy that the basic role of a sex recipient to facilitate a better taste of recieval.

Nimechokoza mjadala tuanzie hapo kurudi kwenye msingi.
Mwanaume usiteseke na habari ya kumridhisha mwanamke ni wajibu wake kukuhudumia a.k.a kukuridhisha wewe kitandani na maswala mengine.

Ukibisha hainihusu.

Wadiz a.k.a Master Donlee
Am out yayayayayaaa
Kwny sex kila mtu anatakiwa amridhishe mwenzie yaani nusu kwa nusu kati ya mwanaume na mwanamke maana sisi wanaume tunafurahia tendo la ndoa zaidi maana sisi ni wabinafsi pale kwny mchezo tukiwa tunakutana na wanawake......ndio maana mwanaume akiridhika anatulia zake! wanawake wakipitia unyagoni hufunzwa jinsi ya kuwaburudisha wame zao ndio maana ukikutana na msichana aliyepitia unyagoni au mbinafsi kwenye tendo la ndoa yaan unaweza ukampa hata kadi ya gari o password za simu yako[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Kwny sex kila mtu anatakiwa amridhishe mwenzie yaani nusu kwa nusu kati ya mwanaume na mwanamke maana sisi wanaume tunafurahia tendo la ndoa zaidi maana sisi ni wabinafsi pale kwny mchezo tukiwa tunakutana na wanawake......ndio maana mwanaume akiridhika anatulia zake! wanawake wakipitia unyagoni hufunzwa jinsi ya kuwaburudisha wame zao ndio maana ukikutana na msichana aliyepitia unyagoni au mbinafsi kwenye tendo la ndoa yaan unaweza ukampa hata kadi ya gari o password za simu yako[emoji16][emoji16][emoji16]
Namtaka alofundwa hawa kupe siwataki kabisa
 
Back
Top Bottom