Jaman naombeni msaada nimepitiliza kuingia katika siku zangu sasa hivi ni siku ya saba tangu tarehe 17 mpaka leo tar 23 sijaona siku zangu, napata maumivu makali ya tumbo kama la bleed kwa kipindi yaani tumbo linauma sana hadi naishiwa nguvu naomba ushauri nifanyeje au kama kuna kitu mnajua kuhusiana na hili tatizo.