phina
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 414
- 126
- Thread starter
- #61
Dah na atakufaidi lol
Ntamwomba anipe nafasi ya kukupa mambo lol ukitoka hapo hutarudia tena
Hahahaaaa hivi bado anaendelea na ile tabia yake?
Hahah..unapenda eh??
Sijaenda kanisani kwake nina mda sasa-lakini nadhani hataacha hiyo tabia!!