OKWanawake wengi viherehere tu hawalazimishwi, kwa uislam mume anaweza akakubadili tu Jina analolitaka km me naitwa Aisha mume akataka Jina la ndoa liwe khadija na sio lazima. Wakati huo huo Jina Langu LA asili linabaki palepale.
Sawa ila huo ni ubabe Na si mapenziMkuuu ,,,,ukishaoa wewe ndo mmiliki wa chombo ,, sasa ili chombo chako kijulikane kua nichako nilazima kiwe na jinalako....
Bila IVO ,,,,kuna mkuuu amekushauri ivi ,,ukicheza utaitwa moneytalk muosha rungu
Mapenzi yake Mwenyewe atakavyoniitaOK
Ukizaa watoto atakuita mama Fulani au Aisha
DJ sepetu
Mkuu mimi naona hili jambo/swala liko upande wa WAKATOLOKI tu....!!Sema neno
DJ sepetu
Kumbe sio kitamaduni tu Na kidini piaMkuu mimi naona hili jambo/swala liko upande wa WAKATOLOKI tu....!!
Huku kwa wengine tunawaita kwa majina yao halisi.
Mfano:- Asha binti Sudi (Asha mtoto wa Sudi/ Asha Sudi)
Mwajuma binti Kassim
Rehema binti Seif n.k....
Swala la wanandoa kutohoa/kukopa jina la Mume wake, linabaki upande wa Imani ya Wakatoliki....!!
Hivyo ndivyo ninavyo fahamu...[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa tu, wanaume wenyewe pasua kichwaBasi huna mapenzi ya kweli
DJ sepetu
Mapenzi ya Kweli hayapo kwenye jina tu. Mi mwenyewe siwezi kubadilisha. Japo nimependa Kweli KweliBasi huna mapenzi ya kweli
DJ sepetu
Mkuu ni kwenye wimbo ganiFid Q alisema kidume ukitulia unaibiwa jina la mwisho sasa na ww ukitulia tu
Mke wako ataitwa
Moneytalk muosha rungu
Acha utani
ielewe mitaa
Wote au baadhi??
Hizi tafiti huwa mnazifanya wapi