DJ SEPETU
JF-Expert Member
- Apr 17, 2017
- 8,413
- 12,336
Asalaam alekhum!
Tumsifu yesu kristo!
Bwana asifiwe!
Mambo
Tuna majina yetu ya asili tuliyopewa Na wazazi au walezi wetu tunayapenda Na kuyathamini
Ila kwa wanawake wengi wao wakisha olewa basi hupoteza surname yao Na kuanza kutumia surname au jina la ukoo la mwanaume
Je kwanini hivi kuna faida yeyote ya mke kuhama ukoo?
Utasikia mtu anaitwa mama john wakati mumewe ndio john Na yeye labda ni Joyce Marko
Karibuni
DJ sepetu
Tumsifu yesu kristo!
Bwana asifiwe!
Mambo
Tuna majina yetu ya asili tuliyopewa Na wazazi au walezi wetu tunayapenda Na kuyathamini
Ila kwa wanawake wengi wao wakisha olewa basi hupoteza surname yao Na kuanza kutumia surname au jina la ukoo la mwanaume
Je kwanini hivi kuna faida yeyote ya mke kuhama ukoo?
Utasikia mtu anaitwa mama john wakati mumewe ndio john Na yeye labda ni Joyce Marko
Karibuni
DJ sepetu