Mwanamke kukosa uteute ukeni tatizo lake ni nini?

Keanza nikupe pole sana kwa changamoto kubwa unayo ipitia ambayo inakusononesha hasa unapohitaji faragha na mumewako. Usijiskie mbyonge, nenda hospitali kubwa onana na daktari wa akina mama tatizo lako linapona kabisa.
 
Keanza nikupe pole sana kwa changamoto kubwa unayo ipitia ambayo inakusononesha hasa unapohitaji faragha na mumewako. Usijiskie mbyonge, nenda hospitali kubwa onana na daktari wa akina mama tatizo lako linapona kabisa.
Asante nitafanyia kazi ushauri wako
 
ANGALIA SANA ULIMI WAKO KAMA HADI KWENYE MAZUNGUMZO HUWA UNA TABIA HIO BASI UTAWAKWAZA WENGI.
Tatizo lako ni unafiki ndyo unakusumbua. Na kiherehere pia cha kujipendekeza.

Kuna lipi nimesema apo ni uongo?

Its obvious when a woman or man makes too much sex, body mucus hupungua. Kwa wanaume huwa hata joints zinalegea sana na hata kuuma na kwa wanawake papucha huwa kavu. This is scientific. Sasa wewe unayetaka kubishana na science wewe nani?

Hebu nitolee ujinga bhna.
 
jipe pia interval ya kutosha kwenye sex unaweza ukafanya kila baada ya siku tano au week mbili usifanye mara kwa mara kusanya kusanya nyege
 
jipe pia interval ya kutosha kwenye sex unaweza ukafanya kila baada ya siku tano au week mbili usifanye mara kwa mara kusanya kusanya nyege
Nakaa hata 2 weeks my dear lkn ndo hivyo hivy
 
Wengine inasababishwa na kukeketwa, wengine ni tatizo la ukhanithi na wengine ni kutokana jinsi walivyoumbwa yaani huwa hawajihisi nyege wala hamu ya kukutana na mwanamme. Pole sana, kama hujatosheka niulize.
 
sometimes matatizo ya kihomoni.....au magonjwa ukeni e.g fangasi. muone dokta
 
mwambie atumie KY mpenzi wako hilo tatzo la uke mkavu halina dawa zaidi ya kutumia kilainishi tu
 
Wengine inasababishwa na kukeketwa, wengine ni tatizo la ukhanithi na wengine ni kutokana jinsi walivyoumbwa yaani huwa hawajihisi nyege wala hamu ya kukutana na mwanamme. Pole sana, kama hujatosheka niulize.
Hayo yote namshukur mung sijafanyiwa wala sina zaman nilikuwa nipo vizur tu na naupata au mazingira pia yanasababisha hali hii
 
Maan nimebadili mazingira au nalo pia ni tatizo? Ila nikiwa katk mazingira yale nilokulia yale nilozoea nakuwa kama kawaida na ute unakuwep Ila nikirudi huku ndo nakuwa siuoni
 
kwa mwanamke baada ya kuandaliwa atatoaa ute ambao unarahisisha uume kuingia sasa baada ya kusex na huyu kumwaga mnatakiwa mkae tena ili hisia zikija tena mnaendelea ndio maana wanaume mara nying weng wao waki mwaga mara ya kwanza lazma apate hisia kusimamisha tena ..na mwanamke hivyo hivyo mara ya kwanza ukiwana ute baadae ukaisha unabidi uandaliwe na ww upate hisia ya kuendelea na mchezo mara nying mwanaume akiona hauna ute anakupaka mate hiyo itasababisha upate mchubuko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…