Kwani mume alipokuwa anataka kukuoa hakukoleza kitandani ili uwe mwaminifu kwake
Hujawai suguliwa uchi kisawasawaNimejiuliza sana kwa aliyoyafanya huyu jirani yangu
Huyu mwana mama ana mume wake na watoto 4 na wa kwanza yupo kidato cha 4 wa mwisho yupo drs la 3
Huyu mwanamama alikuwa na mchepuko wake,sasa jana wakazenguana na mchepuko wake na mchepuko umemwambia kuachana naye
Mwanamama amebaki kulia tu,amesononeka,ameonekana kama amevurugwa vibaya mno
Amekuwa mkali kwa mumewe na watoto na hata majirani zake, amelala na hataki kufanya shughuli zingine za kawaida
Mchepuko mwenyewe sio kwamba anamsaidia sana katika mambo ya kiuchumi,maana alivyo hana hili wala lile
Mwanamke amebaki kutuma watu kwenda kwa mchepuko wake asimuache,akimuacha atakufa
Mume wake yeye anadhani mke wake anaumwa
Nimebaki najiuliza,hivi kumpenda mchepuko kiasi hiko na huku una mume wako wa ndoa,na je huyo mume wako unampendaa?????
Unawezaje kugawa upendo kwa wanaume wawili kwa mkupuo?
Nilifikiri kuachwa na mchepuko ni kitu rahisi maana una wako wa ndani kumbe sio kitu rahisi ninavyodhani
Sio siri nimebaki nasikitika
NakutafutaKupenda ni upofu ....ila acha ajichumie dhambi shetani atamuanika wazi
Kwa nini achepuke eti dadaAngekuwa hampendi asingekuwa nae
Kila mtu ana sababu zake mdogo wanguKwa nini achepuke eti dada
Soma vizuri tena uzi; mume hayajui hayo yanayo endelea, yeye anajua mkewe labda anaumwa!Mimi kama mume ningeliongezea dozi ya life tu ilo janamke
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hivi unajua kukojozwa wewe???? Haya tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] dah! Kuna watu hawako timamu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hata Kama jamani ndio na kuangusha kilio..aibu hii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hivi unajua kukojozwa wewe???? Haya tu
,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hata Kama jamani ndio na kuangusha kilio..aibu hii
mzee betri ukichomolewa kijiji kinawaka moto, chota wese kwa tahadhali kubwaNimejiuliza sana kwa aliyoyafanya huyu jirani yangu
Huyu mwana mama ana mume wake na watoto 4 na wa kwanza yupo kidato cha 4 wa mwisho yupo drs la 3
Huyu mwanamama alikuwa na mchepuko wake,sasa jana wakazenguana na mchepuko wake na mchepuko umemwambia kuachana naye
Mwanamama amebaki kulia tu,amesononeka,ameonekana kama amevurugwa vibaya mno
Amekuwa mkali kwa mumewe na watoto na hata majirani zake, amelala na hataki kufanya shughuli zingine za kawaida
Mchepuko mwenyewe sio kwamba anamsaidia sana katika mambo ya kiuchumi,maana alivyo hana hili wala lile
Mwanamke amebaki kutuma watu kwenda kwa mchepuko wake asimuache,akimuacha atakufa
Mume wake yeye anadhani mke wake anaumwa
Nimebaki najiuliza,hivi kumpenda mchepuko kiasi hiko na huku una mume wako wa ndoa,na je huyo mume wako unampendaa?????
Unawezaje kugawa upendo kwa wanaume wawili kwa mkupuo?
Nilifikiri kuachwa na mchepuko ni kitu rahisi maana una wako wa ndani kumbe sio kitu rahisi ninavyodhani
Sio siri nimebaki nasikitika
[emoji23][emoji23][emoji23]
Mmh!Nimeamini kwa nini ilibidi Mungu ampe Adam usingizi mzito ili amuumbe Hawa toka ubavuni kwake. Kwa kifupi sie wanaume yatupasa kuishi na wanawake kwa akili.
Unadhani usipooa kuna mtu atapata hasara?Ishasema sioi