Mwanamke kulia kwa sababu ya mchepuko

Hujawai suguliwa uchi kisawasawa

Achana kabisa na sumu ya penzi

Kinga halisi ya mapenzi ni kutoionja sumu yake. Siku ukijaribu tu,!! umekua teja tayari

Mungu Fundi
 
Mamy inaelekea wewe ni mfuatiliaji mzuri wa mambo ya watu.....

Any way labda mchepuko anamgonga vizuri huyo maza wacha alie tu... Kileleni kutamu ohooooo
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] dah! Kuna watu hawako timamu
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hata Kama jamani ndio na kuangusha kilio..aibu hii
,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
mzee betri ukichomolewa kijiji kinawaka moto, chota wese kwa tahadhali kubwa
 
Kuna binadamu wanasikitisha sana...

Ila mpaka wewe unajua kama kisirani cha huyo mwanamke sababu ni kuachana na mchepuko wake, mume wake anashindwaje kujua au kugundua?


Cc: mahondaw
 
Nimeamini kwa nini ilibidi Mungu ampe Adam usingizi mzito ili amuumbe Hawa toka ubavuni kwake. Kwa kifupi sie wanaume yatupasa kuishi na wanawake kwa akili.
Mmh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…