getrusa
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 2,150
- 1,822
Wakuu habari za jumapili, kumekuwa na wimbi kubwa la wadada na wamama kusafishwa na kusuguliwa miguu kwenye baadhi ya vituo na maduka ya urembo.
Je utamaduni huu mpya unaongia kwa kasi katika jamii yetu hauna madhara kwa tamaduni zetu? Je ni sehemu zipi zenye msisimko kwa mwanamke ambazo anapoguswa kwa ustadi huweza amsha msisimko wake kimapenzi?
Je utamaduni huu mpya unaongia kwa kasi katika jamii yetu hauna madhara kwa tamaduni zetu? Je ni sehemu zipi zenye msisimko kwa mwanamke ambazo anapoguswa kwa ustadi huweza amsha msisimko wake kimapenzi?