Mwanamke kusuguliwa miguu ni usafi au kupotoka?

Mwanamke kusuguliwa miguu ni usafi au kupotoka?

Wanawake kusuguliwa miguu, wanaume kusuguliwa migongo na wadada walio tupu, wenyewe wanaita masage.Kwa hik ngona droo tutakutana nyumbani.
 
Huwa nashangaa sana kuona mwanamke anashindwa sugua miguu yake mwenyewe anasubili wasuguaji.....
Alafu sio wadada tu hata wanaume kuna jamaa nilimuona mitaa flan msasani anasuguliwa miguu na men dah nilishangaa sana.
 
Ni moja ya fashion,itapita kama nyingine zilizopita...
Nakubaliana na wewe mkuu,mambo haya hupita, na hua ni ya muda tu na husababishwa na mambo ya kuigana,
kwani zamani hiyo miguu walikua wanaoshwa na nani?

Hivi mwanamke asiyeweza kusafisha miguu yake mwenyewe ataweza kuitunza nyumba yake?
 
Wanaume bwana mbona nyie mnasuguliwa videvu na wanawake masaloon.
 
Hilo ndilo lililonitafakarisha ukichukuliwa matatizo ya kisukari waliyo nayo waunaume wengi walio katika ndoa je huu sio mwanya wa wanawake hawa kukidhi haja zao za kimwili? Ni vip wanaweza kuiepuka mitego na ushawishi wa wasugua miguu hawa..?
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Na kuna ka mtindo ka hao wasugua miguu kuwafata majumbani kabisa
 
Acha miguu, kuna hadi saloon wanazoenda kunyolewa ma.vuzi, itakua miguu?
Hao hao waosha miguu pia wana maeneo yao ya kwenda kuwanyoa. Wakiona amefurahia huduma ya miguu humgusia pia kuhusu huduma ya kunyolewa kama ataihitaji.
😂😂
Daaah! huo ndo ukahaba
 
Wanaenda kuloanisha chupi tu..miguu unashindwa kuisugua mwenyewe kwako??
 
Sikuhizi hata wanaume wa Dar wanasuguliwa miguu.. Sasa sijui wansugua kuondoa Magaga au nini?!
 
Dooh wanaume mna wivu jamani, nimecheka sana.

Yaani mtu upate hisia kisa tu mtu anakusugua mguu?
 
Hiyo ni hatari, tena wanafuata nyumban pindi Mzee yupo kazini!! Kwann asije pindi mume yupo?
Kweli kabisa,wanaume kuna haja ya makusudi kufunga camera majumbani,hawa wasugua miguu ndio hao hao ambao wanasugua naniliu za wake zetu pindi hatupo nyumbani
 
Back
Top Bottom