Ebwanaeee!! Nimetoka siku chache maeneo ya huko kwenye kuganga njaa. Mwanzoni nilijua ni stori kumbe kweli aisee godoro imevalishwa gwanda la maana tu ka sofa la keko..
View attachment 71852 View attachment 71858
Sharti namba 12 lilinistua kidogo, nilijua yanabandikwa kwenye gesti za mikoa ya pwani tu..
View attachment 71855 View attachment 71856
hahahahahahahahahahahahaha!!!!Mm sio Dr illa najua kuna gland bla ya Uteras ambayo humwaga hivyo vilainishi ila km ni maji dalili ya mkojo ni nzuri na ni wachache hufikia hali hiyo zaidi ni kwa **terero
Ingia kukwaa lingine hapa DR
huo ni uzembe wa dawasco wameshau kufunga valve za maji au mambomba yao yana-leak.Kwa jisi walivyowazembe,nahisi itachukua muda mrefu sana kwa wao kuja kufunga hayo mabomba.Vinginevyo,awe anakinga hayo maji na kuwauzia wakazi wa maeneo yenye shida ya maji,ni njia mojawapo ya kujiongezea kipato,ila asisahau kulipa kodi.
King'asti, my use ya taulo is during action only!, the "squirting" fluid is clear na haina smell!, ingekuwa ni urine, ingesmell!, kwa fomulation yangu, wanawake wanao squit, the fluid is made by a different gland na kuwa poured kwenye blader, hivyo ikitoka, inatoka kwa wing na kwa fujo as if mtu ana urinate na asiejua atadhania binti kajikolea!.
Jf Dr.
Naomba kuuliza, ni kawaida mwanamke kutokwa majimaji ukeni anapojisikia kufanya tendo la ndoa na majimaji huendelea wakati wa tendo ili kumuongezea radha.Sasa swali langu ni kwamba mwanamke anayetokwa na maji mengi na kuendelea kutoka hata baada ya goli la kwanza hata kupelekea kulala na kitambaa ukeni ili kukausha maji ana tatizo gani? Na nini kifanyike ili kuzuia hali hiyo? Msaada dr.
nafikiri ni vema ieleweke kuwa kuna wanawake wa aina mbili ukiachana na maswala ya ukubwa au udogo wa UKE.
type 1 ni wale wakavu sana>yaani unapofanya naye tendo ni sawa na kula Parachichi la Mbeya. mnato wa hatari.
type 2 ni wale wenye majimaji (watery)> hawa mara nyingi mnalazimika kuwa na kitamba kwa ajili ya kukausha wakati tendo la ndoa linaendelea (kulazimika kukatiza tendo na kumfuta),yote haya siyo magonjwa ni hali ya kawaida kabisa unless huo ute uwe unatoa arufu mbaya.
hili la kuendelea kutoka maji/ute pengine ni hali ya kawaida, inawezekana mwanaume naye akaachia Shahawa nyingi hasa baada ya bao la kwanza. la msingi ni kuzingatia usafi, kila baada ya tendo akajisafishe (kujiflush) vizuri na kujikausha! sema inakuwa kero kama anayo KUMANINA!
sq... ndio hiyo hiyo f.e!, na haiambatani na ut... bali ut... ndio hutangulia na hiyo ndio huukukamilisha!.Hivi kati ya squirting na femal ejaculation , ipi inaambatana na utamuu?
Photo pls
Hii hapa pichaPhoto pls