Mwanamke Kutotongozwa…. JAMANI Tatizo nini?



Nipe contacts zake fastaaaa
OTIS
 
nitupie link ya jina lake la FB kwenye pm yangu
 
Mie wala hawa hawanisumbuagi coz najuaga wanahangaika tu,hasa hasa kwa rejao wataishia kumwangalia kwa macho mwenyewe keshasema anawaogopa!!!
Isitoshe password za kule mahala rejao alishanimilikisha kitambo lol!
Yaani ma dia Canta umeniziba masikio na mdomo kabisa....sisikii wala siwezi kusema chochote kabisa!
nafikiri AshaDii anafahamu kale katabia changu, na alikuwa ananipigia nacho kelele sana! But toka nimetua kwako, nimekuwa mpolee, zezeta, domo zege! Hata kelele za Kongonsho na Smile siziskii kabisa!
 
Wewe kwa wiki unatongozwa na wanaume wangapi wapya?
Sijawahi wahesabu coz huwa sitilii maanani zaidi nikishajibu kuwa niko commited kwa mtu wangu basi napotezea na kuendelea na ishu zangu!!
Ww hua unatongoza wa ngapi kwa wiki!!!
 
Sijawahi wahesabu coz huwa sitilii maanani zaidi nikishajibu kuwa niko commited kwa mtu wangu basi napotezea na kuendelea na ishu zangu!!
Ww hua unatongoza wa ngapi kwa wiki!!!

Unajisikiaje usipo tongozwa mwezi mzima?
 

Sio easy prey, labda kutongozwa hakujafafanuliwa vyema, mi nadhani kutongozwa haswa ni pale mwanaume anapoenda out of his way kuonesha jinsi anavyoku admire and that my friend is something else, just knowing haiba yako inawavutia watu inakufanya mtu mzuri zaidi unlike kama watu wasipokufata inakufanya mtu mbaya, aidha una dharau, roho mbaya hucheki na watu na mengine yaliyoainishwa na wengine. Ukiwa approachable mtu anaweza kuwa na shida ingine kama kuelekezwa mahala lakini akawa drawn into u kutokana na mvuto wako na akajaribu kukueleza kwa hali ya heshima lakini wengine hawapati hata nafasi ya kusemeshwa hata kwa mazungumzo ya kawaida ambayo yanaweza ku lead into mahusiano kwa nia njema.
 
Heheheeheee!
That is my dear swty hubby,nimekushika ukashikamana tulia ule vitamu visivoisha hamu lol!

Kuna mahali nimeona kongosho kakutupia kitu km tongozo ila nilijua utamjibu soon lol!
Asante darling wangu,watakula kwa macho tu km wanaonitongoza mie wakati password unayo ww!!
 
Hivi Rejao, kumbe unaniogopa??
Ndo maana ukahamia kwa Canta sababu kafulia?
Mbona ningekuachia hiyo gari jamani.
Sorry kwa kuchakachua ADI, macho ya rejao hunitia upofu.
Kongosho,
Range Rover Evoque ya 2012 kuwa nayo tena hapa bongo si mchezo! najiuliza, hiyo hela ya kununulia umepata wapi? umehongwa na nani? maana nafahamu babu Asprin ni mkulima tu na kwa sasa kinachomuweka mjini ni Pensheni, hana uwezo wa kununua hiyo gari! Na mshahara wako wa ualimu sidhahi kama unatosha hata kununua baiskeli!! Au unamshikadau mwingine tena hapa??
Canta nimejipiga piga sana nimemnunulia kavitz...hay
 
Unajisikiaje usipo tongozwa mwezi mzima?
Wala haitanisumbua kwan aliyetakiwa kunitongoza na nikatongozeka tayari yupo kwa ajili yangu,
Nishawekwa ndani na papa Rejao so itakua imenipunguzia usumbufu wa kujieleza kila wakati kuwa ni mke wa mtu!!!
 

Mafisadi wa CCM watakuwa wamehonga wewe hujui? Mbona kuna vibinti vingi mitaani huku vinahongwa magari ya kifahari wao wanaita babu au mzee ameniwezesha ndo hao hao mafisadi
 
Shem bana....

Yaani ukishajibiwa kama hapo bold, kwa sisi wazoefu tayari tushaachana naye..... khaa!
 

Kuna rafiki yangu amewahi kuniambia mapenzi ni sanaa (art) kama sanaa nyingine ingawa hii hufanywa na watu wengi zaidi. Sasa kwa hawa wasotongozwa/ -tongozeka AD my sis it is their very own duty to learn the theories na kuchagua paradigm ya kufanyia kazi and be cautious upon entering the volatile practical ground
 
Hivi kwani lazima kutongozwa bana? Mzukie mwenyewe tu, khaa mbona mbwembwe nyingi sana!!
 
Hivi kwani lazima kutongozwa bana? Mzukie mwenyewe tu, khaa mbona mbwembwe nyingi sana!!

Kumbukumbu zangu zinaonyesha mara ya mwisho kutongoza ilikuwa ni darasa la 5
 
Pale kwenye umri sina hakika, I find women older than me attractive!

Wanakuwa wametulia kiakili zaidi na wanajua nini wanataka kuliko watoto wa shule kwa kiasi kikubwa. I agree with you!
 
AD,
Kumbe msipotongozwa nalo ni tatizo hata kama mnajua jibu litakuwa yes or no depending on many different issues?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…