Mwanamke kuzaliwa Uchagani tu ni form six!

Tembosa

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2013
Posts
4,487
Reaction score
3,978
Kimaisha! wakuu niwaambie wanawake wakichagga ni quiet different from others. Ukioa mwanamke wa kichagga darasa la saba hana tofauti na mwanamke mwenye digrii from another tribe.

Nayasema haya baada yakuona mengi sana, katika haya maisha. Lots of chagga guys waliokuwa na maisha mazuri, then wakaoa wadada tofauti na kabila lao, wameenda chini kimaendeleo.

Itokee bahati mbaya jamaa atwaliwe, ndiyo kila kitu kinakufa chunguza utaona hata wewe. Kwa wale waliowapata wakichagga at least wanamaintain na mafanikio kwenda juu.

Hata wanaume wakutoka maeneo mengine, akibahatika kuoa mchagga ni kwamba kwa kiasi kikubwa maisha wanayamaintain, na hutasikia things goes down hata jamaa akiondoka duniani.

Najua hapa kuna watu wa aina mbalimbali na inawapasa mkubaliane na hali, wanawake wakichagga wako tofauti kabisa kabisamna wanawake wa makabila mengine in real sense of success.
 
chunguza utaona hata wewe.


Hata wanaume wakutoka maeneo mengine, akibahatika kuoa mchagga ni kwamba kwa kiasi kikubwa maisha wanayamaintain, na hutasikia things goes down hata jamaa akiondoka duniani..

Hapo kwenye red: Nani kakuambia kuoa mchaga ni bahati? Poor mentality! Hakuna kabila linaloshape maisha yako. If you are loose count failure hata uoe malaika achilia mbali mwananke wa kichaga. Kama unategemea kupata maendeleo kwa kuoa mchaga you are gone. Sana sana atakutaliki after three to four yrs kama hakieleweki.
 
Mambo mengine kuyasema au kwasilisha mbele ya jamii kunahitaji uwe mtu ambaye si wa kawaida....

Hivi unaanzia wapi kutoa kauli za kujumla jumla bila ushahidi wa kitafiti kuthibitisha maelezo yako??
 
Mambo mengi kuyasema au kwasilisha mbele ya jamii kunahitaji uwe mtu ambaye si wa kawaida....

Hivi unaanzia wapi kutoa kauli za kujumla jumla bila ushahidi wa kitafiti kuthibitisha maelezo yako??

nimeandika kiujumla mkuu, nikitaka kudhibitisha itanilazimu nianze kuzungumza juu ya maisha ya watu moja kwa moja.

nimebahatika kuishi sehemu mbali mbali za nchi yetu ya tanzania,
juzi hapo nilikuwa mwanza pale kuna wahamiaji wengi sana wakichagga hasa wanaotoka maeneo ya machame..
both males and females.

sasa karibia wanaume wengi waliooa wanawake wasio wachaga kwa pale mwanza wako tofauti,
wengi stuggle zao ni ngumu.
wanafight with less help kutoka kwa wenzi wao.

na kwa wale wanawake wakichaga walioolewa na wasio wachaga wamesimama imara kuhakikisha maendeleo ya familia hayaendi chini.
hata kama waume zao ni employed workers, they real fight.

kuna jamaa hapo juu kauliza juu ya nafasi ya mwanamke katika maendeleo ya mwanaume, hili liko wazi kabisa.
Mke wako ana nafasi kubwa sana katika maendeleo yako.
 
Afu wakitongozwa na mtu mwenye "MAWE" ni washapu wa kuchangamkia fursa balaa. Hamna sitaki nataka kama za msukuma. Wao wanajibu hata NIMEKUBALI/ HAYA/LINI SASA!!!
 
Naona umeamua kuwapa kick Wakina miss chaga
 
heeeee
haya bana.. Asprin Mentor na makaka's wengine hebu pitieni hapa kuna watu wahitaji kupeleka posa kule migombani.

by the way.. kwa post yako ndugu mie ina maana nina PHD .. walahi itakuwa too much kwangu angrrrrr!
 
Last edited by a moderator:
kwa kifupi wanawake wa kichaga wanapenda wanaume wenye.pesa ukienda kuoa unaulizwa unanin unachomlk ndo.maana wanaolewa na kuonekana wanahela wapo.radh.wasilewa kama mwowaji huna kitu.
xo usijishaue
source na mke mchaga nayaona hayaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…