Hapo kwenye red: Nani kakuambia kuoa mchaga ni bahati? Poor mentality! Hakuna kabila linaloshape maisha yako. If you are loose count failure hata uoe malaika achilia mbali mwananke wa kichaga. Kama unategemea kupata maendeleo kwa kuoa mchaga you are gone. Sana sana atakutaliki after three to four yrs kama hakieleweki.
Degree ya kutangaza wanaume wao hawakidhi hajaKimaisha! wakuu niwaambie wanawake wakichagga ni quite different from others. Ukioa mwanamke wa kichagga darasa la saba hana tofauti na mwanamke mwenye digrii from another tribe.
Nayasema haya baada yakuona mengi sana, katika haya maisha. Lots of chagga guys waliokuwa na maisha mazuri, then wakaoa wadada tofauti na kabila lao, wameenda chini kimaendeleo.
Itokee bahati mbaya jamaa atwaliwe, ndiyo kila kitu kinakufa chunguza utaona hata wewe. Kwa wale waliowapata wakichagga at least wanamaintain na mafanikio kwenda juu.
Hata wanaume wakutoka maeneo mengine, akibahatika kuoa mchagga ni kwamba kwa kiasi kikubwa maisha wanayamaintain, na hutasikia things goes down hata jamaa akiondoka duniani.
Najua hapa kuna watu wa aina mbalimbali na inawapasa mkubaliane na hali, wanawake wakichagga wako tofauti kabisa kabisamna wanawake wa makabila mengine in real sense of success.
wachagga kazini
Safi mkuu
[emoji1] [emoji1] [emoji1] aisee post nyingine banahalafu waambieni waache kulala visu kitandani
Msukule wa kichaga katika ubora wako,Kimaisha! wakuu niwaambie wanawake wakichagga ni quite different from others. Ukioa mwanamke wa kichagga darasa la saba hana tofauti na mwanamke mwenye digrii from another tribe.
Nayasema haya baada yakuona mengi sana, katika haya maisha. Lots of chagga guys waliokuwa na maisha mazuri, then wakaoa wadada tofauti na kabila lao, wameenda chini kimaendeleo.
Itokee bahati mbaya jamaa atwaliwe, ndiyo kila kitu kinakufa chunguza utaona hata wewe. Kwa wale waliowapata wakichagga at least wanamaintain na mafanikio kwenda juu.
Hata wanaume wakutoka maeneo mengine, akibahatika kuoa mchagga ni kwamba kwa kiasi kikubwa maisha wanayamaintain, na hutasikia things goes down hata jamaa akiondoka duniani.
Najua hapa kuna watu wa aina mbalimbali na inawapasa mkubaliane na hali, wanawake wakichagga wako tofauti kabisa kabisamna wanawake wa makabila mengine in real sense of success.
utakuwa unakaugonjwa kamoja kabaya sana, kanakoitwa chaggaphobia nenda katibiwe tu mkuu.Msukule wa kichaga katika ubora wako,
Hata mjisafishe namna gani ninyi wachaga mlishalaaniwa.
Poleni sana
Hakuna mwanaume mwenye akili timamu akaoa mchaga sasa labda washamba, na solution ni muoane ninyi wenyewe ili muendelee kuchomana visu na kuuana kwa tamaa ya mali. Kamuulize ufo saro ndio atakwambia mkasa vizur na mushi wake.
Kuna wake bora kama wasukuma, wanyakyusa, wahehe, wahaya n.k ila sio wake majambazi wa kichaga
DuhIla ndiyo ujue kuolewa nje ya moshi kuko mashakani hivyo..!
Punguza hasira ni kweli tupu hii na ww si mchaga[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]thread ya kipumbavu sijaona, sijui wa wapi wewe. watanzania hatuko hivyo hata kidogo
Hujatoa mifanoKimaisha! wakuu niwaambie wanawake wakichagga ni quite different from others. Ukioa mwanamke wa kichagga darasa la saba hana tofauti na mwanamke mwenye digrii from another tribe.
Nayasema haya baada yakuona mengi sana, katika haya maisha. Lots of chagga guys waliokuwa na maisha mazuri, then wakaoa wadada tofauti na kabila lao, wameenda chini kimaendeleo.
Itokee bahati mbaya jamaa atwaliwe, ndiyo kila kitu kinakufa chunguza utaona hata wewe. Kwa wale waliowapata wakichagga at least wanamaintain na mafanikio kwenda juu.
Hata wanaume wakutoka maeneo mengine, akibahatika kuoa mchagga ni kwamba kwa kiasi kikubwa maisha wanayamaintain, na hutasikia things goes down hata jamaa akiondoka duniani.
Najua hapa kuna watu wa aina mbalimbali na inawapasa mkubaliane na hali, wanawake wakichagga wako tofauti kabisa kabisamna wanawake wa makabila mengine in real sense of success.