Mwanamke kuzaliwa Uchagani tu ni form six!

Mwanamke kuzaliwa Uchagani tu ni form six!

usikutane wa wa machame huyo atakuua, au mkirua/kilema hao ni wachawi. warombo hao ni malaya, wa marangu hawajui shughuli kitandani.
wanawake wa kichaga wana shape za ajabu waweza kuta mwanamke mzuri ila ni pasi/nyuma kitonga hakipo au mbaya, kitonga hana ila maziwa yake ni makubwa sana. halafu usafi sio wazuri sana inshort hawapendi kujiremba.

kuna baadhi ya wanawake kwao kujiremba ni kipaumbele ataweza maliza hata laki kupamba maku mfano wa pwani.
Acheni kugumusha mambo njoeni muoe uchagani karibuni sana "mndenyi kodhu" yaani karibuni sana"migombani kwetu"
 
Acheni kugumusha mambo njoeni muoe uchagani karibuni sana "mndenyi kodhu" yaani karibuni sana"migombani kwetu"
kwa wachawi huko na firauni kibao?? kama nimelogwa na mwanamke wa kichaga basi sina imani nao tena mtoto mdogo??? wachaga ni zaman sio sasa wanafunuliwa hadi uwani. zile picha zilizokua zin zinasambaa hukuzuliona yule mwanamke wa mamba???
 
Tatizo wanawake wa kichaga ni wababe sana, hawashauriki.

Pia hawawezi kumpenda mtu kutoka rohoni ila wanampenda mtu kwa kile alichonacho.
 
Hapo kwenye red: Nani kakuambia kuoa mchaga ni bahati? Poor mentality! Hakuna kabila linaloshape maisha yako. If you are loose count failure hata uoe malaika achilia mbali mwananke wa kichaga. Kama unategemea kupata maendeleo kwa kuoa mchaga you are gone. Sana sana atakutaliki after three to four yrs kama hakieleweki.
Kajitwalie Mzaramo halafu uje utujulishe muziki wake
 
1471455097049.jpg
Kabila Gani huyu?
 
Wachaga ni watafutaji sana hawapo kusubiri kuletewa au kukaa majumban mwanaume alete mahitaji, hawadharau kazi hata kinadada niwachakarikaji sana, kinachonivutia zaidi ni malezi ya watoto yani naturaly wanafundishwa kujitegemea. Big up sweet Mangii
 
Kusoma ni part moja tu ya ufanisi ingine ni kujituma ,bidii na ubunifu ambayo wachaga wanayo.
 
wanachonifurahisha wachanga bana ukioa kwao lazima sikukuu za xmas na we ukashiriki tambiko lao moshi. sijui wana nguvu gani hawa mabinti, ukiwaoa unakua kama umeolewa wewe, na lazima ukawajengee kwao.
mshikemshike ndege tunduniii.....

Hili ni tatizo ndo maana sitaki kaka zangu waende huko
Mambo ya matambiko tena!
 
Msukule wa kichaga katika ubora wako,
Hata mjisafishe namna gani ninyi wachaga mlishalaaniwa.
Poleni sana
Hakuna mwanaume mwenye akili timamu akaoa mchaga sasa labda washamba, na solution ni muoane ninyi wenyewe ili muendelee kuchomana visu na kuuana kwa tamaa ya mali. Kamuulize ufo saro ndio atakwambia mkasa vizur na mushi wake.
Kuna wake bora kama wasukuma, wanyakyusa, wahehe, wahaya n.k ila sio wake majambazi wa kichaga
Khaaaaah!!!! hatari sana.
 
Kimaisha! wakuu niwaambie wanawake wakichagga ni quite different from others. Ukioa mwanamke wa kichagga darasa la saba hana tofauti na mwanamke mwenye digrii from another tribe.

Nayasema haya baada yakuona mengi sana, katika haya maisha. Lots of chagga guys waliokuwa na maisha mazuri, then wakaoa wadada tofauti na kabila lao, wameenda chini kimaendeleo.

Itokee bahati mbaya jamaa atwaliwe, ndiyo kila kitu kinakufa chunguza utaona hata wewe. Kwa wale waliowapata wakichagga at least wanamaintain na mafanikio kwenda juu.

Hata wanaume wakutoka maeneo mengine, akibahatika kuoa mchagga ni kwamba kwa kiasi kikubwa maisha wanayamaintain, na hutasikia things goes down hata jamaa akiondoka duniani.

Najua hapa kuna watu wa aina mbalimbali na inawapasa mkubaliane na hali, wanawake wakichagga wako tofauti kabisa kabisamna wanawake wa makabila mengine in real sense of success.

SIO KWELI MBONA HAWA WATU BAADA YA MAFANIKIO HUWA WANAUA WAUME, NA MJOMBA YANGU KANIKANYA JUU YA WATU HAWA, WACHAGA NI KWELI WANAJITAHIFI KUPAMBANA ILA BAADA YA KUTOBOA MLABA E KWENDA KWA MUUMBA WAKO SIO WATU WA MZAHA NI MA MAGIA VIBAYA
 
SIO KWELI MBONA HAWA WATU BAADA YA MAFANIKIO HUWA WANAUA WAUME, NA MJOMBA YANGU KANIKANYA JUU YA WATU HAWA, WACHAGA NI KWELI WANAJITAHIFI KUPAMBANA ILA BAADA YA KUTOBOA MLABA E KWENDA KWA MUUMBA WAKO SIO WATU WA MZAHA NI MA MAGIA VIBAYA
myths
 
Hapo kwenye red: Nani kakuambia kuoa mchaga ni bahati? Poor mentality! Hakuna kabila linaloshape maisha yako. If you are loose count failure hata uoe malaika achilia mbali mwananke wa kichaga. Kama unategemea kupata maendeleo kwa kuoa mchaga you are gone. Sana sana atakutaliki after three to four yrs kama hakieleweki.
Hapo kwenye sentensi ya mwisho hapo kuna ukweli fulani hivi
 
Kimaisha! wakuu niwaambie wanawake wakichagga ni quite different from others. Ukioa mwanamke wa kichagga darasa la saba hana tofauti na mwanamke mwenye digrii from another tribe.

Nayasema haya baada yakuona mengi sana, katika haya maisha. Lots of chagga guys waliokuwa na maisha mazuri, then wakaoa wadada tofauti na kabila lao, wameenda chini kimaendeleo.

Itokee bahati mbaya jamaa atwaliwe, ndiyo kila kitu kinakufa chunguza utaona hata wewe. Kwa wale waliowapata wakichagga at least wanamaintain na mafanikio kwenda juu.

Hata wanaume wakutoka maeneo mengine, akibahatika kuoa mchagga ni kwamba kwa kiasi kikubwa maisha wanayamaintain, na hutasikia things goes down hata jamaa akiondoka duniani.

Najua hapa kuna watu wa aina mbalimbali na inawapasa mkubaliane na hali, wanawake wakichagga wako tofauti kabisa kabisamna wanawake wa makabila mengine in real sense of success.
[emoji1] [emoji1] Mwanamke akizaliwa Uhayani tu! Ni form four.
 
Back
Top Bottom