Mwanamke kuzaliwa Uchagani tu ni form six!

Acheni kugumusha mambo njoeni muoe uchagani karibuni sana "mndenyi kodhu" yaani karibuni sana"migombani kwetu"
 
Acheni kugumusha mambo njoeni muoe uchagani karibuni sana "mndenyi kodhu" yaani karibuni sana"migombani kwetu"
kwa wachawi huko na firauni kibao?? kama nimelogwa na mwanamke wa kichaga basi sina imani nao tena mtoto mdogo??? wachaga ni zaman sio sasa wanafunuliwa hadi uwani. zile picha zilizokua zin zinasambaa hukuzuliona yule mwanamke wa mamba???
 
Tatizo wanawake wa kichaga ni wababe sana, hawashauriki.

Pia hawawezi kumpenda mtu kutoka rohoni ila wanampenda mtu kwa kile alichonacho.
 
Kajitwalie Mzaramo halafu uje utujulishe muziki wake
 
Wachaga ni watafutaji sana hawapo kusubiri kuletewa au kukaa majumban mwanaume alete mahitaji, hawadharau kazi hata kinadada niwachakarikaji sana, kinachonivutia zaidi ni malezi ya watoto yani naturaly wanafundishwa kujitegemea. Big up sweet Mangii
 
Kusoma ni part moja tu ya ufanisi ingine ni kujituma ,bidii na ubunifu ambayo wachaga wanayo.
 
wanachonifurahisha wachanga bana ukioa kwao lazima sikukuu za xmas na we ukashiriki tambiko lao moshi. sijui wana nguvu gani hawa mabinti, ukiwaoa unakua kama umeolewa wewe, na lazima ukawajengee kwao.
mshikemshike ndege tunduniii.....

Hili ni tatizo ndo maana sitaki kaka zangu waende huko
Mambo ya matambiko tena!
 
Khaaaaah!!!! hatari sana.
 

SIO KWELI MBONA HAWA WATU BAADA YA MAFANIKIO HUWA WANAUA WAUME, NA MJOMBA YANGU KANIKANYA JUU YA WATU HAWA, WACHAGA NI KWELI WANAJITAHIFI KUPAMBANA ILA BAADA YA KUTOBOA MLABA E KWENDA KWA MUUMBA WAKO SIO WATU WA MZAHA NI MA MAGIA VIBAYA
 
SIO KWELI MBONA HAWA WATU BAADA YA MAFANIKIO HUWA WANAUA WAUME, NA MJOMBA YANGU KANIKANYA JUU YA WATU HAWA, WACHAGA NI KWELI WANAJITAHIFI KUPAMBANA ILA BAADA YA KUTOBOA MLABA E KWENDA KWA MUUMBA WAKO SIO WATU WA MZAHA NI MA MAGIA VIBAYA
myths
 
Hapo kwenye sentensi ya mwisho hapo kuna ukweli fulani hivi
 
[emoji1] [emoji1] Mwanamke akizaliwa Uhayani tu! Ni form four.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…