MwangalukaKaisiki
Mbona Kindengereko?Nnwawa........matumbi moja hiyo
mwakeye... mwirivu??Mwakeye
Nitakufatiria kila sehemu, mpaka unireport kwa mods basi!.Nimejaa tele kama pishi la mchele, wewe ndo huonekani.
Kuna wafaransa nao wana matamshi mabaya kwa lugha yetu!.[emoji3][emoji3][emoji3],hivyo hivyo kama lilivyo
Neno (K*MA) huko Japanese
Kama yapi mkuuKuna wafaransa nao wana matamshi mabaya kwa lugha yetu!.
Miss Gisenyi, kule kama unaenda Goma DRC?Umugore
Nitakufatiria kila sehemu, mpaka unireport kwa mods basi!.
hata kigogoMdala
iringa kwa wahehe
Sijaona ukiandika mwanamke tunamuitaje sasa kule kwetu? [emoji12] [emoji12] [emoji12]Miss Gisenyi, kule kama unaenda Goma DRC?
Sijaona ukiandika mwanamke tunamuitaje sasa kule kwetu? [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Banati pia Hurlaiini,πππ, Na kule kwetu kwingine je? Kule unapoitafuta Zingibi kule. Najua salamu ni "Ukaramkadze mwenehu" ila mwanamke wanamwitaje sasa?Sijaona ukiandika mwanamke tunamuitaje sasa kule kwetu? [emoji12] [emoji12] [emoji12]