Sasa tatizo ni lenu, sio hata hao wanawake.Kwa sababu mmzidi hizi kero ni nyingi kwetu.
Jibu Hili Hapa MkuuTafsiri yake ni kwamba sisi tuao waoa nyie wanawake ndio tunajua kwanini hatuwaoi.
Hapo juu mdau amewarahisishia nyie wanawake ili mzitambue sababu zinazo pelekea mnakosa kuolewa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hujajibu nilicho kiuliza.
Huwa nashangaa sana, malalamiko ya wanawake kuto olewa yanaletwa na wanaume, hii tafsiri yake nn??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ajabu kwa kweli, [emoji23][emoji23][emoji23]Hapo sasa
Mimi naona tuwaache wapambane na hali zao. Ikifika wakati, Unayemsadia hataki kusaidiwa, unafanyaje sasa. Jibu ni moja tu. Achana naye apambane na hali yake, wewe tembea kifua mbele kwa kuwa ulikuwa tayari kusaidia, lakini mhusika hakuwa tayari kusaidiwa.Mnasaidiwa kuongea napo hamtaki