Mwanamke mavazi!

teeehtehh..mambo ya optical nutrition haya
 
Mhhhh..
Kivazi hicho kinasema

'mwaka huu lazima nikamate buzi'

maana kila kivazi kina ujumbe wake.
 
very contradicting, hamchelewi kulia ovyo mnadhalilishwa, sasa sijui hapo amekaa hwa hiyari yake au amekalia gundi! natania tuu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Wewe, uzuri wa mwanamke unazidi jinsi anavyozidi kuwa half naked na kwa mwanaume is the opposite of that (anavyozidi kuongeza nguo mwilini). Hakika Mwenyezi Mungu aliumba. Tunatakiwa kusifia uumbaji lakini tusiende beyond that na kutenda dhambi
 
Aisee...najihisi tayari nipo kortini nahukumiwa kwa kesi ya kubaka.Nikitoka nitaanzisha NGO itaitwa HAKI MAVAZI
 
injinia na sanaa wapi na wapi!
 
jina lake ndo hilo hapo juu sarafina mshindo!
 
Kizuri chajiuza na kibaya hujitembeza. Hata ukivaa marapurapu madhali bidhaa unayo watu watapangia foleni tu. Kwani wakati wa gwaride unaangalia mavazi?

Leka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…