Mwanamke mlevi kupindukia.

Mwanamke mlevi kupindukia.

mwe!!!usiombe yakakukutan! nina experience kubwa ya jambo hilo! acha tuuuu ulevi nomaaaa,ntakujumlisha kwenye sala zangu mwayego!upunguze alcohol usijali dada
 
Bwana Bujibuji. Msichana huyo akiwa hajalewa ni mtu mwema kabisa, tatizo akishalewa na hata kufikia kujikojolea hata madereva taksi wa Sunciro wanajibebea kilaiini!....

Tatizo la mtu kama huyu ni kushindwa kuhimili kinywaji au kutokujua ni wapi pa kuishia mara aanzapo kunywa. Rehab ni msaada mkubwa sana na kwale wanaoamini katika Maombi ni jambo jingine jema pia.
 
Mniache na valuu zangu yaani ndio unisemea huku? Pombe tamu jamani aliyegundua!!
 
1: kuna dada namfahamu alikuwa chuoni anangoma sasa kutokana na mawazo alikuwa anakunywa mpk anazima, piaalikuwa hachagui mwanaume na huyo nae kama wanajibebea tu jua kuna siri hapo.

2: kuna watu pia tumezoea tukinywa ni mpk tuzime, kuzima ni raha asikwambie mtu
 
Hei Bujibuji ni yule uliyefumwa na wazazi wake ukimshughulikia kwenye kochi nyumbani kwao (kumbuka thread yako fulani), kama yule ni yale malezi ya mtoto wa mama/kudeka sana,pesa wazazi ipo huwa wanaharibika sana hao, ni hatari!
 
Mniache na valuu zangu yaani ndio unisemea huku? Pombe tamu jamani aliyegundua!!
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
<br />
BB via mobile haina like bana usipime valuu si mchezo tamu mnooooopo Bujibuji mchokozi tu huyu
 
Ni msomi mwenye shahada ya sheria. Anakunywa mpaka anapoteza ufahamu.
Anajikojolea popote na hachagui neno. Wazazi wake wamechoka, wameongea sana na wamepiga sana.
Je tumsaidieje mtu huyu?

Pelekeni hii kitu kwa babu ikagonge kikombe!
matatizo yote lazima yaishe...
 
1.wazazi wamejaribu kumrudi wameshindwa sisi tutaweza?
2.wewe mleta mada ndie unamjua vema,mpe msaada unaofaa.
3.pesa za kununulia pombe zikiisha au ofa zikikoma ataacha.
Hata hivyo inasikitisha,inanikumbusha trafiki mmoja wa kike aliyekuwa mlevi kupindukia......

Nini hitma ya huyo polisi?
 
1: kuna dada namfahamu alikuwa chuoni anangoma sasa kutokana na mawazo alikuwa anakunywa mpk anazima, piaalikuwa hachagui mwanaume na huyo nae kama wanajibebea tu jua kuna siri hapo.&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
2: kuna watu pia tumezoea tukinywa ni mpk tuzime, kuzima ni raha asikwambie mtu
&l;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
<br />
Yaani wewe hivi unakunywa kinywaji gani vile???? Nidai chupa kadhaaaa umenifurahisha sana kuzima kuna raha yake.......
 
Ni mwanamke msomi mwenye shahada ya sheria. Anakunywa pombe mpaka 1anapoteza ufahamu.
2Anajikojolea popote na 3hachagui neno la kutamka yaani tusi si tusi twende kazi.

Wazazi wake wamechoka, wameongea sana na wamepiga sana.
Je tumsaidieje mtu huyu?

Ni kweli kila jambo linalotokea linachanzo/kiini/sababu.
Huyu ni msomi mwanamke. Tunachojua ni kuwa hilo lingekuwa moja ya sababu ya kutembea kifuambele akiwa kwa wanawake au wanaume. Pia hata kuringa.

Kitendo cha yeye kuwa mnywaji pombe aliyepindukia linabeba maana kubwa. Ni mtu aliyekata tamaa hata kujiona hana thamani awapo na watu au peke yake. Hanatumaini la maisha, anakunywa kama namna ya kumpa ahueni na raha ya muda tu.Unawajibu wa kutafuta kiini cha yeye kutojithamini/kujikataa na kufikiri pombe ni suluhisho

Namba 1,2 na 3 ni matokeo ya nafsi iliyoamua kuingia ktk ulevi kama matokeo ya kujizira/kujikinai.

Wazazi wamekosea, washauri warekebishe hili la kuchoka kumlea mtoto wao.
Mtu huyu ni wathamani kubwa kuliko unavyoweza fikiri. Ukimudu japo kwa hatua ndogo kumleta ktk hali ya kawaida inathamani mbele za Mwenyezi Mungu na watu pia. Naomba mpende(ameukosa huo->huwa haujifichi kama upo), mhudumie, msaidie mpaka atakaporudi ktk hali ya kawaida. Atakuheshimu na kukuthamini sana. Usifikiri kumfanyia jambo lolote baya kama wanavyoshauri wengine.

Nitarudi tena
 
Ni mwanamke msomi mwenye shahada ya sheria. Anakunywa pombe mpaka 1anapoteza ufahamu.
2Anajikojolea popote na 3hachagui neno la kutamka yaani tusi si tusi twende kazi.

Wazazi wake wamechoka, wameongea sana na wamepiga sana.
Je tumsaidieje mtu huyu?

Ni kweli kila jambo linalotokea linachanzo/kiini/sababu.
Huyu ni msomi mwanamke. Tunachojua ni kuwa hilo lingekuwa moja ya sababu ya kutembea kifuambele akiwa kwa wanawake au wanaume. Pia hata kuringa.

Kitendo cha yeye kuwa mnywaji pombe aliyepindukia linabeba maana kubwa. Ni mtu aliyekata tamaa hata kujiona hana thamani awapo na watu au peke yake. Hanatumaini la maisha, anakunywa kama namna ya kumpa ahueni na raha ya muda tu.Unawajibu wa kutafuta kiini cha yeye kutojithamini/kujikataa na kufikiri pombe ni suluhisho

Namba 1,2 na 3 ni matokeo ya nafsi iliyoamua kuingia ktk ulevi kama matokeo ya kujizira/kujikinai.

Wazazi wamekosea, washauri warekebishe hili la kuchoka kumlea mtoto wao.
Mtu huyu ni wathamani kubwa kuliko unavyoweza fikiri. Ukimudu japo kwa hatua ndogo kumleta ktk hali ya kawaida inathamani mbele za Mwenyezi Mungu na watu pia. Naomba mpende(ameukosa huo->huwa haujifichi kama upo), mhudumie, msaidie mpaka atakaporudi ktk hali ya kawaida. Atakuheshimu na kukuthamini sana. Usifikiri kumfanyia jambo lolote baya kama wanavyoshauri wengine.

Nitarudi tena
 
&l;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
<br />
Yaani wewe hivi unakunywa kinywaji gani vile???? Nidai chupa kadhaaaa umenifurahisha sana kuzima kuna raha yake.......


thanx dena, ni machozi ya simba
 
Back
Top Bottom