Maty
JF-Expert Member
- Aug 24, 2010
- 2,167
- 727
<br />
<br />
Inaonyesha wewe hujui ladha ya pombe......
hahahaha dena umenichekesha mpaka basi lol
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
<br />
<br />
Inaonyesha wewe hujui ladha ya pombe......
<br />hahahaha dena umenichekesha mpaka basi lol
<br /><br />Mniache na valuu zangu yaani ndio unisemea huku? Pombe tamu jamani aliyegundua!!
Ni msomi mwenye shahada ya sheria. Anakunywa mpaka anapoteza ufahamu.
Anajikojolea popote na hachagui neno. Wazazi wake wamechoka, wameongea sana na wamepiga sana.
Je tumsaidieje mtu huyu?
1.wazazi wamejaribu kumrudi wameshindwa sisi tutaweza?
2.wewe mleta mada ndie unamjua vema,mpe msaada unaofaa.
3.pesa za kununulia pombe zikiisha au ofa zikikoma ataacha.
Hata hivyo inasikitisha,inanikumbusha trafiki mmoja wa kike aliyekuwa mlevi kupindukia......
Inaonyesha wewe hujui ladha ya pombe......
<br /><font size="3">Kweli acha tu anywe, utamu wake hakuna tena!!!</font>
<br />
<br />
Inaonyesha wewe hujui ladha ya pombe......
&l;br /><br />1: kuna dada namfahamu alikuwa chuoni anangoma sasa kutokana na mawazo alikuwa anakunywa mpk anazima, piaalikuwa hachagui mwanaume na huyo nae kama wanajibebea tu jua kuna siri hapo.<br /><br />
<br /><br />
2: kuna watu pia tumezoea tukinywa ni mpk tuzime, kuzima ni raha asikwambie mtu
<br />Ukijua ladha ya pombe ndio unywe kupitiliza?
Ni mwanamke msomi mwenye shahada ya sheria. Anakunywa pombe mpaka 1anapoteza ufahamu.
2Anajikojolea popote na 3hachagui neno la kutamka yaani tusi si tusi twende kazi.
Wazazi wake wamechoka, wameongea sana na wamepiga sana.
Je tumsaidieje mtu huyu?
Ni mwanamke msomi mwenye shahada ya sheria. Anakunywa pombe mpaka 1anapoteza ufahamu.
2Anajikojolea popote na 3hachagui neno la kutamka yaani tusi si tusi twende kazi.
Wazazi wake wamechoka, wameongea sana na wamepiga sana.
Je tumsaidieje mtu huyu?
&l;br /><br />
<br /><br />
<br />
Yaani wewe hivi unakunywa kinywaji gani vile???? Nidai chupa kadhaaaa umenifurahisha sana kuzima kuna raha yake.......
<br />thanx dena, ni machozi ya simba