Kashishi yetu
JF-Expert Member
- Mar 22, 2014
- 3,509
- 3,741
WANAWAKE 400??
Ana tani za Lita za shahawa alizokwishazimwaga!!
Ila ni handsome
Ana tani za Lita za shahawa alizokwishazimwaga!!
Ila ni handsome
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeenh kafanana na Mwezi wa kwanza na yule msanii asiye na sanaa Idris SultanHuyo Ngongo ana sura ya kitanzania 🐼
KabisaHuyo Ngongo ana sura ya kitanzania 🐼
Weee uyo sio MTanzania Abak kwao ukouko ata viza tusimpe aisee nimeona video zake mbili jamaa sio poa afu anarungu kubwa😀😀 ndio mana kawachezeasana rungu lake limewavutia adi wamama😀😀Unataka kusemaje mkuu, tumfuate raia wetu au una maana gani? 😀 😀
Nina wasiwasi hata mke wa Raisi kashaliwa, lakini wanaficha tu kuepusha fedheha na aibu kwa Raisi.
Itakuwa ni ghadhabu kubwa sana.
Noma sana!Wakuu
Taarifa kutoka Equatorial Guinea zinaeleza Mwanamke mmoja anayedaiwa kuwa muathirika wa kashfa ya video za ngono za mwanasiasa wa Equatorial Guinea, Baltasar Ebang Engonga, amejiua ili kuondokaa na aibu baada kigogo huyo kunaswa na video 400 za ngono na wake wa viongozi mbalimbali mashuhuri.
Aidha, Serikali ya Equatorial Guinea imewafuta kazi maafisa wote wa serikali ambao walihusishwa na kufanya mapenzi katika ofisi za wizara. Makamu wa Rais Teodoro Nguema amesema kuwa kitendo hicho ni ukiukwaji wa Kanuni za Maadili na sheria za nchi.
Pia, Soma: Guinea: Kigogo anaswa na video 400 za ngono na wake wa viongozi mashuhuri, mwanasheria Mkuu aingilia kati
Bongo wanatakiwa wawepo hawa jamaa wapigiwe..sema kibongobongo mtu unaweza jikuta kwenye kiroba au umepotea 😄Kuna vijamaa ni noma sana mpaka shetani mwenyewe anaogopa😄😄😄
Fikiria Yaani kajamaa kalikuwa na project ya kutembeza pira kwa wake za wakubwa na maarufu serikalini Yaani ni full kuwachapa nao😄😄😄
Nadhani hapa Bongo pia wapo ila hawajastukiwa tu
Kawachakaza sanaWengi wa masikini huwa wanajua sana kujifariji eti matajiri hatuna nguvu za kiume mara sijui wanavibamia Sasa Jana wamejionea wake zao wanavyogongwa na tajiri kutoka guinea yaani wanawake zaidi ya mia 400 na kawachakaza vibaya San aisee wazee msijifariji matajiri tuna hatari tunapiga paipu na tuna ndonga za maana
Wakuu
Taarifa kutoka Equatorial Guinea zinaeleza Mwanamke mmoja anayedaiwa kuwa muathirika wa kashfa ya video za ngono za mwanasiasa wa Equatorial Guinea, Baltasar Ebang Engonga, amejiua ili kuondokaa na aibu baada kigogo huyo kunaswa na video 400 za ngono na wake wa viongozi mbalimbali mashuhuri.
Aidha, Serikali ya Equatorial Guinea imewafuta kazi maafisa wote wa serikali ambao walihusishwa na kufanya mapenzi katika ofisi za wizara. Makamu wa Rais Teodoro Nguema amesema kuwa kitendo hicho ni ukiukwaji wa Kanuni za Maadili na sheria za nchi.
Pia, Soma: Guinea: Kigogo anaswa na video 400 za ngono na wake wa viongozi mashuhuri, mwanasheria Mkuu aingilia kati
Malizia bwana and vice versa is true... A man with zero girl is loser and girl with zero boy is diamond.A man with a thousand girls is a hero, a girl with a thousand boys is zero.
Golden commentMalizia bwana and vice versa is true... A man with zero girl is loser and girl with zero boy is diamond.
😀😀😀😀Unataka kusemaje mkuu, tumfuate raia wetu au una maana gani? 😀 😀
Alikuwa anatumia nguvu za Giza au?"Akinicheat na mimi namcheat."
–Mwanamke mjinga
SWALI: Unafikiri mpaka sasa kati ya Baltasar na wake za watu aliowala nani wameaibika zaidi?
JIBU: Wake za watu
SWALI: Unafikiri kati ya ndoa ya Baltasar na ndoa za wake za watu zipi ziko hatarini kuvunjika?
JIBU: Wake za watu
SWALI: Unafikiri kati ya familia na ndugu za Baltasar na familia na ndugu za wake za watu zipi zimeaibika?
JIBU: Familia za wake za watu
Mpaka sasa jamaa anazungumziwa kwenye mitandao kama shujaa kwa kumega wake za watu. Lakini hakuna anayewasifu wake za watu zaidi wanatajwa kuwa ni malaya.
Huwa nashangaa sana wanawake wanaosema mume akicheat nao wanacheat. Kupitia hili sakata la Guinea nadhani wamepata majibu.
Kwa jinsi jamaa amepeleka moto kwa wake za watu atazidi kuwavutia wanawake wengine awasugue. Hata mke wake aondoke leo jamaa kesho anavuta manzi mwingine ASAP
Shida ni kwa hawa wake za watu wakiachika na video zao zimevuja nani atathubutu kuwafanya wake?
Learn or Perish
Alikuwa anatumia nguvu za giza au!"Akinicheat na mimi namcheat."
–Mwanamke mjinga
SWALI: Unafikiri mpaka sasa kati ya Baltasar na wake za watu aliowala nani wameaibika zaidi?
JIBU: Wake za watu
SWALI: Unafikiri kati ya ndoa ya Baltasar na ndoa za wake za watu zipi ziko hatarini kuvunjika?
JIBU: Wake za watu
SWALI: Unafikiri kati ya familia na ndugu za Baltasar na familia na ndugu za wake za watu zipi zimeaibika?
JIBU: Familia za wake za watu
Mpaka sasa jamaa anazungumziwa kwenye mitandao kama shujaa kwa kumega wake za watu. Lakini hakuna anayewasifu wake za watu zaidi wanatajwa kuwa ni malaya.
Huwa nashangaa sana wanawake wanaosema mume akicheat nao wanacheat. Kupitia hili sakata la Guinea nadhani wamepata majibu.
Kwa jinsi jamaa amepeleka moto kwa wake za watu atazidi kuwavutia wanawake wengine awasugue. Hata mke wake aondoke leo jamaa kesho anavuta manzi mwingine ASAP
Shida ni kwa hawa wake za watu wakiachika na video zao zimevuja nani atathubutu kuwafanya wake?
Learn or Perish
Huenda alikuwa anawanyoraAlikuwa anatumia nguvu za Giza au?
Alikuwa anatumia nguvu za giza au!
Cha ajabu wanawake walikuwa comfortable pindi wanarekodiwa wanampa ushirikiano.Kawachakaza sana
Mke sjui wa igp twende
Mke bosi usalama,jaji twende
Fukuafukuaa tu
Ova